Wakatoliki kesho tarehe 1/3/2017 Jumatano ya majivu

Kwa nn watumie majivu badala ya udongo wa ardhi coz hapo inaonesha wazi kuwa binadamu ni majivu na majivuni atarudi ambapo ni kinyume na mandiko
 
Kwa sababu sio wakristo wote wanafanya hayo wanayofanya wakatoliki. Hayo wanayofanya ni mapokeo yao kutoka vatican na sio kibiblia.
Kazi unayo bila kuwataja wakatoliki siku yako haiendi vema. Hata ukifanyaje ndo dhehebu ambalo halina mgogoro wa kiuongozi
 
Kikubwa fanyeni toba ya kweli kufunga siku ya jumatano ya majivu na kufanya matendo ya huruma (mema) kwa kujinyima na kugawana wahitaji.
Niwatakie msimu(mfungo) mwema wa kwaresma. NAWAPENDA SANA.

ANGALIZO:
Epuka kunikwaza maandiko yanasema makwazo haya budi kutokea ila ole wake asababishaye makwazo.
 
Back
Top Bottom