Wakati yote yanafanyika Usalama wa Taifa walikuwa wapi?

Labda nimekosea kuuliza, hivi system haihusiki kabisa na Rasirimali za
nchi hii kwa namna moja au nyingine?

Kama inahusika, wakati yote hayo yanatokea wao walikuwa wapi?
Walilisaidiaje Taifa?


!
!
Walikuwa makini wakimakinia [HASHTAG]#chadema[/HASHTAG].
 
kwa uelewa wangu mdogo ni taasisi nyeti but kikatiba na mwongozo wao haina meno kufikia kusitisha program husika ilihali ime detect fraud..rejea ile act yao ya 1990's..kazi yao ni kuatafuta taarifa(kiuchumi,siasa,ulinzi/usalama,etc), kuzifanyia kazi/kuzihakiki but atlast kuwasilisha taarifa kwa chombo au department husika..either wizara flan,Rais etc wao hawachukui action labda inapolazimu lakini mpaka order itolewe...sasa hapo Raisi akipokea taarifa ni juu yake kuzifanyia kazi au kuzitia uvunguni...
 
Eti ni kweli kuwa chama tawala ni mtetezi wa wanyonge?
Karamagi, Mkapa, Kikwete and the co wana unyonge gani? Nyundo kwenye bendera ni kwa ajili ya kuwasukubisha na kuwapigilia misumari msalabani walala hoi.
Jembe kwenye bendera kwa ajili ya kuchimbia Makaburi na kuwazika wote wanaohatarisha maslahi haramu ya vigogo wa CCM
 
Back
Top Bottom