Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kumekuwa na matukio huko Kigoma kufuatia mauaji ya malipizi na vifo mikononi mwa POlisi. Sasa hivi wapo watu wanalala msituni wakikimbia kila gari linalopita. Polisi watuhumiwa kuua raia mikononi mwao na kikundi cha polisi wanaodaiwa kuhusika wanahojiwa. Ni mwendelezo wa mambo yaliyiotokea Januari 5.
Sikiliza Mwenyewe:
[JFMP3]www.jamiiforums.com/audio/jamii-kigoma.mp3[/JFMP3]
Sikiliza Mwenyewe:
[JFMP3]www.jamiiforums.com/audio/jamii-kigoma.mp3[/JFMP3]