Wakati unanipa penzi ulikuwa umerogwa au?

Wakati unanipa penzi ulikuwa umerogwa au?

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
Utakuta kuna msichana umezoeana nae mkajikuta mmependana ila hakuna aliyemfungukia mwenzake, Siku ikatokea mmekaa sehemu ya faragha gheto mara ghafla mkajikuta mmeanza kukiss hadi kusex, alafu mkimaliza hakuna anayemuongelesha mwenzake kila mmoja anasepa zake.

Itokee siku unataka kuomba penzi tena au umemtext "mambo mpenzi", utakuta anakujibu, "my dear it was just a mistake, haitakaa itokee tena tufanye mapenzi", kama ulikua unajua ni mistake kwanini unipe tena kwa hiari bila kulazimishwa! Acheni hizo bwana, mnaboa.
 
Utakuta kuna demu umezoeana nae mkajikuta
mmependana ila hakuna aliyemfungukia
mwenzake,
Siku ikatokea mmekaa sehemu ya
faragha gheto mara ghafla mkajikuta
mmeanza kukiss hadi kusex, afu mkimaliza hakuna
anayemuongelesha mwenzake kila mmoja anasepa zake,..
Itokee siku unataka kuomba penzi tena au
umemtext "mambo mpenzi", Utakuta
anakujibu,
"my dear it was just a mistake, haitakaa
itokee tena tufanye mapenzi",
Wee mpumbav.u
nini,,,!! Kama ulikua unajua ni mistake kwanini upanue
miguu tena kwa hiari bila kulazimishwa!!! Acheni hizo bwana, mnaboa!!!.
This really happens!!!!
 
Unataka urudie ili ugundue nini tena mpwa?chapa ilale babu wapo wengine kwenye foleni.
Aisee alafu sijui nnatatizo gani, najaribu kujiforce kupiga dem mara mbili lakini siwezi yani nikishapiga mara moja natafuta shimo jipya la kujificha, Naomba uniombee mpwa labda nina mapepo hahahaha(joke)..
 
Aisee alafu sijui nnatatizo gani, najaribu kujiforce kupiga dem mara mbili lakini siwezi yani nikishapiga mara moja natafuta shimo jipya la kujificha, Naomba uniombee mpwa labda nina mapepo hahahaha(joke)..
Mkuu unatatizo. Ukimlabua mwanamke halafu usitake tena chezo atamind sana. Ikiwa umeomba tena chezo na kaligomea jua ulifanya makosa mwanzoni. ulimchafua
 
Mkuu unatatizo. Ukimlabua mwanamke halafu usitake tena chezo atamind sana. Ikiwa umeomba tena chezo na kaligomea jua ulifanya makosa mwanzoni. ulimchafua
Hahaha, hii jina yako ya kirchoff inanimumbusha Chemistry Advance Enzi hizo tunasoma
 
kila mmoja awe na mnoja tu wa kwake
 
Pale huwa kuna raha sana Mapenzi hakuja kwa hisia zenyewe tu ,Pale ndipo niligundua kumbe sisi ni wanyama sema hawa Dada huwa wanaleta uswahili,,Nilisha wahi Fanya na classmate wangu mpaka Leo Sijawahi kufanya ngono tamu kama hiyo mkuu ,,Ila mimi hata Leo napewa ,,
 
Hahaha, hii jina yako ya kirchoff inanimumbusha Chemistry Advance Enzi hizo tunasoma

Kirchhoff Voltage law or KVL, states that “in any closed loop circuit, the total voltage around the loop is equal to the sum of all the voltage drops within the same loop” which is equal to 0.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom