Utakuta kuna demu umezoeana nae mkajikuta
mmependana ila hakuna aliyemfungukia
mwenzake,
Siku ikatokea mmekaa sehemu ya
faragha gheto mara ghafla mkajikuta
mmeanza kukiss hadi kusex, afu mkimaliza hakuna
anayemuongelesha mwenzake kila mmoja anasepa zake,..
Itokee siku unataka kuomba penzi tena au
umemtext "mambo mpenzi", Utakuta
anakujibu,
"my dear it was just a mistake, haitakaa
itokee tena tufanye mapenzi",
Kama ulikua unajua ni mistake kwanini unipe tena kwa hiari bila kulazimishwa!!! Acheni hizo bwana, mnaboa!!!.