Wakati Ulimwengu una mabilioni ya galaxies: Ilikuwaje Mungu akaumba mamilioni ya Malaika lakini akaumba binadamu 2 pekee kwenye Galaxy ya Milk Way?

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
IMG_0111.JPG


IMG_9526.jpg
Ulimwengu Unaojulikana.

Ulimwengu Ujulikanao (Observable Universe) unapanuka (expand) kwa kasi kubwa sana ya km 73.8 kwa sekunde (kwa megaparsec 1) na kwamba kadri Galaxy inavyokuwa mbali na Milky Way, ndivyo kasi ya kuexpand inavyoongezeka zaidi, hivyo Galaxy iliyo kwenye megaparsec 2 inapanuka kwa kasi kwa mara mbili zaidi (km 147.6 kwa sekunde). Hivyo, mwanga ambao unatoka kwa sasa kwenye galaxies za mbali sana, hautaweza tena kuifikia Dunia kwani galaxies (Nyota) zilizotoa mwanga huo zinazidi kwenda mbali na Milky Way Galaxy (liko Dunia). Kwa hali hiyo, hatutaweza tena kujua vitu vyovyote vinavyofanyika maeneo ya mbali sana ya Universe (mf. yaliyo miaka bilioni 40 ya mwanga). In fact, hata vitu vilivyofanyika miaka milioni 1 (hata bilioni 1) iliyopita kwenye eneo lililoko 40 billion light years, bado mwanga wake haujafika duniani. So, nini kimefanyika katikati hapo?

Hali hii imesababisha baadhi ya Wanajimu kudai kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa uwepo wa Universes nyingine ambazo ziko mbali na Ulimwengu (Observable Universe) tuishimo na hivyo mwanga wake bado haujafika na kamwe haitatokea tena mwanga huo ukafika duniani kwa kuwa ziko mbali mno.

IMG_9515.jpg

Eneo lililozungushiwa kibox cha njano ndilo pekee kwenye Galaxy ya Milky Way linaloonekana wakati wa usiku kutokea duniani.

Aidha, Ulimwengu Ujulikanao (Observable Universe) unaundwa na vitu vingi vikiwemo: nyota, sayari, vimondo, mavumbi (dust particles), dark matter, dark energy, dark radiation, black holes, white holes, etc, etc.

Kulingana na makadirio ya Ulimwengu Ujulikanao (Observable Universe), kuna:
  • Galaxies zipatazo bilioni 200 - trilioni 2;
  • Nyota zipatazo bilioni 100 kwenye Galaxy ya Milky Way pekee (Zidisha na Galaxies?); na
  • Sayari zipatazo bilioni 1 kwenye Galaxy ya Milky Way pekee (zidisha na Galaxies), huku zaidi ya Sayari milioni 500 kwenye Milky Way zikiwa na mazingira yanayoweza ku-support life.
Hata hivyo, katika Vitabu vya Dini, kumeelezwa kuwa, Mungu kabla hajawaumba wanadamu alikuwa tayari amewaumba Malaika mbinguni, ambapo wanaokadiriwa kufikia milioni 400.
IMG_0095.jpg


Kitabu cha Ufunuo kimeweka hesabu za malaika kuwa zaidi ya malaika milioni 100.
IMG_9785.jpg


Kwa upande wa Dini ya Kihindu, wao wana miungu (devatas na devees) ipatayo 333,333,333. Ukiwachukulia hao kuwa ndio fallen angels, basi malaika waliobaki mbinguni wakimtii Mungu (2/3) ni 666,666,666. Ukijumlisha na Shetani (Devil) unapata jumla ya malaika bilioni 1.

Wengine wamekuwa wanalinganisha idadi ya malaika na wingi wa nyota ulimwenguni. Kwa kuwa kuna matrilioni na matrilioni ya nyota, basi wanaamini kuwa, hizo nyota ndio hao malaika.

Swali: Ilikuwaje Wanadamu wawili tu (Adam & Eve) ndio waumbwe na kuwekwa kwenye Galaxy ya kawaida sana "Milky Way" kati ya mabilioni ya Galaxies? Ilikuwaje pia hao wanadamu wawili wawekwe wenyewe tu kwenye Sayari ya Dunia miongoni mwa mabilioni ya Sayari zilizoko kwenye Milky Way Galaxy?

Hayo matrilioni na matrilioni ya sayari ulimwenguni yana kazi gani?
Je, kuna akina nani wanazifaidi hizo Sayari zilizozagaa ulimwengu mzima?
Huko kwenye Unobservable Universe kuna nini?
Je, si kweli kuwa kuna Universes nyingine nyingi zaidi ya hii tuliyomo?
 
View attachment 933692Ulimwengu Unaojulikana.

Ulimwengu Ujulikanao (Observable Universe) unapanuka (expand) kwa kasi kubwa sana ya km 73.8 kwa sekunde (kwa megaparsec 1) na kwamba kadri Galaxy inavyokuwa mbali na Milk Way, ndivyo kasi ya kuexpand inavyoongezeka zaidi, hivyo Galaxy iliyo kwenye megaparsec 2 inapanuka kwa kiasi kwa mara mbili zaidi (km 147.6 kwa sekunde) Hivyo, mwanga ambao haujawahi kufika duniani, hauwezi tena kuifikia Dunia kwani galaxies (Nyota) zilizotoa mwanga huo zinazidi kwenda mbali na Milk Way Galaxy (liko Dunia).

Hali hii imesababisha baadhi ya Wanajimu kudai kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa uwepo wa Universies nyingine ambazo ziko mbali na Ulimwengu (Observable Universe) tuishimo na hivyo mwanga wake bado haujafika na kamwe haitatokea tena mwanga huo ukafika duniani kwa kuwa ziko mbali mno.

View attachment 933691
Eneo lililozungushiwa kibox cha njano ndilo pekee kwenye Galaxy ya Milky Way linaloonekana wakati wa usiku kutokea duniani.

Aidha, Ulimwengu Ujulikanao (Observable Universe) unaundwa na vitu vingi vikiwemo: nyota, sayari, vimondo, mavumbi (dust particles), dark matter, dark energy, dark radiation, black holes, white holes, etc, etc.

Kulingana na makadirio ya Ulimwengu Ujulikanao (Observable Universe), kuna:
  • Galaxies zipatazo bilioni 200 - trilioni 2;
  • Nyota zipatazo bilioni 100 kwenye Galaxy ya Milk Way pekee (Zidisha na Galaxies?); na
  • Sayari zipatazo bilioni 1 kwenye Galaxy ya Milk Way pekee (zidisha na Galaxies), huku zaidi ya Sayari milioni 500 kwenye Milk Way zikiwa na mazingira yanayoweza ku-support life.
Hata hivyo, katika Vitabu vya Dini, kumeelezwa kuwa, Mungu kabla hajawaumba wanadamu alikuwa tayari amewaumba Malaika mbinguni, ambapo wanaokadiriwa kufikia milioni 400.
View attachment 933525

Kitabu cha Ufunuo kimeweka hesabu za malaika kuwa zaidi ya malaika milioni 100.
View attachment 933615

Kwa upande wa Dini ya Kihindu, wao wana miungu (devatas na devees) ipatayo 333,333,333. Ukiwachukulia hao kuwa ndio fallen angels, basi malaika waliobaki mbinguni wakimtii Mungu (2/3) ni milioni 666,666,666. Ukijumlisha na Shetani (Devil) unapata jumla ya malaika bilioni 1.

Wengine wamekuwa wanalinganisha idadi ya malaika na wingi wa nyota ulimwenguni. Kwa kuwa kuna matrilioni na matrilioni ya nyota, basi wanaamini kuwa, hizo nyota ndio hao malaika.

Swali: Ilikuwaje Wanadamu wawili tu (Adam & Eve) ndio waumbwe na kuwekwa kwenye Galaxy ya kawaida sana "Milky Way" kati ya mabilioni ya Galaxies? Ilikuwaje pia hao wanadamu wawili wawekwe wenyewe tu kwenye Sayari ya Dunia miongoni mwa mabilioni ya Sayari zilizoko kwenye Milky Way Galaxy?

Hayo matrilioni na matrilioni ya sayari ulimwenguni yana kazi gani?
Je, kuna akina nani wanazifaidi hizo Sayari zilizozagaa ulimwengu mzima?
Huko kwenye Unobservable Universe kuna nini?
Je, si kweli kuwa kuna Universies nyingine nyingi zaidi ya hii tuliyomo?

https://www.quora.com/How-many-angels-are-there-in-heaven
The Fallen Angels

Have scientists cracked the speed at which the universe is expanding?
How Many Planets Are In The Universe? | ScienceBlogs
https://www.washingtonpost.com/news...y-alone/?noredirect=on&utm_term=.9820c782e910

Nitaongelea zaidi sayansi kuliko dini.Vitabu vya dini sivikubali.

1.Shukurani kwa kuandika mambo haya kwa Kiswahili, ni nadra sana kuyapata kwa Kiswahili. Mapungufu yoyote nitakayoyasema, hayatafunika shukurani hii kwa fadhila kubwa uliyotufanyia kuandika (au kutafsiri) habari hizi kwa Kiswahili.

Zaidi, mimi kama mtu ninayependa elimu, na ninayekubali kwamba elimu hupatikana kwa hojaji, nikipiga maswali, nikikosoa, sikusudii kuumbua, nakusudia kuboresha mjadala na elimu.

2.Ulipoandika "Hivyo, mwanga ambao haujawahi kufika duniani, hauwezi tena kuifikia Dunia kwani
galaxies (Nyota) zilizotoa mwanga huo zinazidi kwenda mbali na Milk Way Galaxy (liko Dunia)." Panahitaji mahesabu zaidi na maelezo zaidi. Kuna mwanga ambao haujaifikia dunia,lakini utaifikia, ingawa ulimwengu unapanuka, kwa sababu kasi ya mwanga kutufikia itakuwa kubwa kuliko kasi ya ulimwengu kupanuka.

3. Umeandika "Hali hii imesababisha baadhi ya Wanajimu kudai kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa uwepo wa Universies nyingine ambazo ziko mbali na Ulimwengu (Observable Universe) tuishimo na hivyo mwanga wake bado haujafika na kamwe haitatokea tena mwanga huo ukafika duniani kwa kuwa zikombali mno."

Mwanga kutotufikia hakufanyi sehemu iwe katika ulimwengu mwingine. Kama kuna nyota ambazo mwanga wake haujatufikia, hizo zinaweza kuwa katika "unobservarble part of this univerae"

Tunapoongelea "Ulimwengu mwingine", kwa kufuatisha Standard model na Big Bang Theory tunautofautisha kwa jinsi ulivyoanza, ulimwengu ambao umeanzia na singularity tofauti na singularity yetu hii, iliyotoka katika Big Bang ya miaka bilioni 13.8, kipindi ambacho time and space yetu ilianza, ndiyo unaweza kuitwa "ulimwengu tofauti". Rejea "Multiverse Theory", soma "The Cosmic Landscape: String Theory And The Illussion of Intelligent Design" cha Lawrence Susskind.

"Ulimwengu tofauti" unakuwa defined na singularity tofauti iliyouzaa, kama sehemu ya ulimwengu wetu huu iko mbali sana, na hatujauona mwanga wa nyota zake, huo si ulimwengu tofauti, hiyo ni sehemu ya ulimwengu huu tusiyoweza kuiona wala kuwasiliana nayo.

Yani nikama vile ukisema "hii ni familia tofauti" unamaanisha kwamba ni watu waliozaliwa na baba na mama tofauti na familia yenu.

Ndugu yako wa baba mmoja mama mmoja akienda mbali sana na kwenu, hata kama hamna mawasiliano naye, bado ni mtu wa familia yenu.

Ukweli kwamba kawa mbali sana na kwenu na hamna mawasiliano naye, haufanyi awe mtu wa familia tofauti na yenu.

Thanks for the tag Behaviourist
 
Mvivu sana wa kufikiri
Bibilia Inaelezea story ya Sayari dunia tu, na kidogo mambo ya Mbinguni.
Yawezekana Mungu aliumba viumbe wengine huko kwa mifumo mingine maana achilia mbali universe milkway galax wanasayansi hawajaichimbua hata kwa 1%.
 
Nitaongelea zaidi sayandi kuliko dini.Vitabu vya dini sivikubali.

1.Shukurani kwakuandika mambo haya kwa Kiswahili, ni ndara sana kuyapata kwa Kiswahili. Mapungufu yoyote nitakayoyasema, hayatafunika shukurani hii kwa fadhila kubwa uliyotufanyia kuandika (aukutafsiri) hanbari hizi kwa Kiswahili. Pili, mimi kama mtu ninayependa elimu, naninayekubalikwamba elimu hupatikana kwa hojaji, nikipiga maswali, nikikosoa, sikusudii kuumbua,nakusudiakuboresha mjadala na elimu.

2.Ulipoandika "Hivyo, mwanga ambao haujawahi kufika duniani, hauwezi tena kuifikia Dunia kwani
galaxies (Nyota) zilizotoa mwanga huo zinazidi kwenda mbali na Milk Way Galaxy (liko Dunia)."panahitaji mahesabu zaidina maelezo zaidi. Kuna mwanga ambao haujaifikia dunia,lakiniutaifikia, ingawa ulimwengu unapanuka, kwa sababu kasi ya mwanga kutufikiaitakuwa kubwa kuliko kasi ya ulimwengu kupanuka.

3. Umeandika "Hali hii imesababisha baadhi ya Wanajimu kudai kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa uwepo wa Universies nyingine ambazo ziko mbali na Ulimwengu (Observable Universe) tuishimo na hivyomwanga wake bado haujafika na kamwe haitatokea tena mwanga huo ukafika duniani kwa kuwa zikombali mno."

Mwanga kutotufikia hakufanyi sehemu iwe katika ulimwengu mwingine. Kama kuna nyota ambazo mwanga wake haujatufikia, hizo zinaweza kuwa katika "unobservarble part of this univesre"

Tunapoongelea "Ulimwengu mwingine", kwa kufuatisha Standard model na Big Bang Theory tunautofautisha kwa jinsi ulivyoanza, ulimwengu ambao umeanzia na singularity tofauti na singularity yetu hii, iliyotoka katika Big Bang ya miaka bilioni 13.8, kipindi ambacho time and space yetu ilianza, ndiyo unaweza kuitwa "ulimwengu tofauti". Rejea "Multiverse Theory", soma "The Cosmic Landscape: String Theory And The Illussion of Intelligent Design" cha Lawrence Susskind.

"Ulimwengu tofauti" unakuwa defined na singularity tofauti iliyouzaa, kama sehemu ya ulimwengu wetu huu iko mbali sana, na hatujauona mwanga wa nyota zake, huo si ulimwengu tofauti, hiyo ni sehemu ya ulimwengu huu tusiyoweza kuiona wala kuwasiliana nayo.

Yani nikama vile ukisema "hii ni familia tofauti" unamaanisha kwamba ni watu waliozaliwa na baba na mama tofauti na familia yenu.

Ndugu yako wa baba mmoja mama mmoja akienda mbali sana na kwenu, hata kama hamna mawasiliano naye, bado ni mtu wa familia yenu.

Ukweli kwamba kawa mbali sana na kwenu na hamna mawasiliano naye, haufanyi awe mtu wa familia tofauti na yenu.

Thanks for the tag Behaviourist
Mungu akubariki kwa andiko zur mkuu ...
 
Nitaongelea zaidi sayansi kuliko dini.Vitabu vya dini sivikubali.

1.Shukurani kwa kuandika mambo haya kwa Kiswahili, ni nadra sana kuyapata kwa Kiswahili. Mapungufu yoyote nitakayoyasema, hayatafunika shukurani hii kwa fadhila kubwa uliyotufanyia kuandika (au kutafsiri) habari hizi kwa Kiswahili.

Zaidi, mimi kama mtu ninayependa elimu, na ninayekubali kwamba elimu hupatikana kwa hojaji, nikipiga maswali, nikikosoa, sikusudii kuumbua, nakusudia kuboresha mjadala na elimu.

2.Ulipoandika "Hivyo, mwanga ambao haujawahi kufika duniani, hauwezi tena kuifikia Dunia kwani
galaxies (Nyota) zilizotoa mwanga huo zinazidi kwenda mbali na Milk Way Galaxy (liko Dunia)." Panahitaji mahesabu zaidi na maelezo zaidi. Kuna mwanga ambao haujaifikia dunia,lakini utaifikia, ingawa ulimwengu unapanuka, kwa sababu kasi ya mwanga kutufikia itakuwa kubwa kuliko kasi ya ulimwengu kupanuka.

3. Umeandika "Hali hii imesababisha baadhi ya Wanajimu kudai kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa uwepo wa Universies nyingine ambazo ziko mbali na Ulimwengu (Observable Universe) tuishimo na hivyo mwanga wake bado haujafika na kamwe haitatokea tena mwanga huo ukafika duniani kwa kuwa zikombali mno."

Mwanga kutotufikia hakufanyi sehemu iwe katika ulimwengu mwingine. Kama kuna nyota ambazo mwanga wake haujatufikia, hizo zinaweza kuwa katika "unobservarble part of this univerae"

Tunapoongelea "Ulimwengu mwingine", kwa kufuatisha Standard model na Big Bang Theory tunautofautisha kwa jinsi ulivyoanza, ulimwengu ambao umeanzia na singularity tofauti na singularity yetu hii, iliyotoka katika Big Bang ya miaka bilioni 13.8, kipindi ambacho time and space yetu ilianza, ndiyo unaweza kuitwa "ulimwengu tofauti". Rejea "Multiverse Theory", soma "The Cosmic Landscape: String Theory And The Illussion of Intelligent Design" cha Lawrence Susskind.

"Ulimwengu tofauti" unakuwa defined na singularity tofauti iliyouzaa, kama sehemu ya ulimwengu wetu huu iko mbali sana, na hatujauona mwanga wa nyota zake, huo si ulimwengu tofauti, hiyo ni sehemu ya ulimwengu huu tusiyoweza kuiona wala kuwasiliana nayo.

Yani nikama vile ukisema "hii ni familia tofauti" unamaanisha kwamba ni watu waliozaliwa na baba na mama tofauti na familia yenu.

Ndugu yako wa baba mmoja mama mmoja akienda mbali sana na kwenu, hata kama hamna mawasiliano naye, bado ni mtu wa familia yenu.

Ukweli kwamba kawa mbali sana na kwenu na hamna mawasiliano naye, haufanyi awe mtu wa familia tofauti na yenu.

Thanks for the tag Behaviourist
Hapo namba 2 ..ulimwengu unapanuka zaidi ya speed ya mwanga
 
Nitaongelea zaidi sayansi kuliko dini.Vitabu vya dini sivikubali.

1.Shukurani kwa kuandika mambo haya kwa Kiswahili, ni nadra sana kuyapata kwa Kiswahili. Mapungufu yoyote nitakayoyasema, hayatafunika shukurani hii kwa fadhila kubwa uliyotufanyia kuandika (au kutafsiri) habari hizi kwa Kiswahili.

Zaidi, mimi kama mtu ninayependa elimu, na ninayekubali kwamba elimu hupatikana kwa hojaji, nikipiga maswali, nikikosoa, sikusudii kuumbua, nakusudia kuboresha mjadala na elimu.

2.Ulipoandika "Hivyo, mwanga ambao haujawahi kufika duniani, hauwezi tena kuifikia Dunia kwani
galaxies (Nyota) zilizotoa mwanga huo zinazidi kwenda mbali na Milk Way Galaxy (liko Dunia)." Panahitaji mahesabu zaidi na maelezo zaidi. Kuna mwanga ambao haujaifikia dunia,lakini utaifikia, ingawa ulimwengu unapanuka, kwa sababu kasi ya mwanga kutufikia itakuwa kubwa kuliko kasi ya ulimwengu kupanuka.

3. Umeandika "Hali hii imesababisha baadhi ya Wanajimu kudai kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa uwepo wa Universies nyingine ambazo ziko mbali na Ulimwengu (Observable Universe) tuishimo na hivyo mwanga wake bado haujafika na kamwe haitatokea tena mwanga huo ukafika duniani kwa kuwa zikombali mno."

Mwanga kutotufikia hakufanyi sehemu iwe katika ulimwengu mwingine. Kama kuna nyota ambazo mwanga wake haujatufikia, hizo zinaweza kuwa katika "unobservarble part of this univerae"

Tunapoongelea "Ulimwengu mwingine", kwa kufuatisha Standard model na Big Bang Theory tunautofautisha kwa jinsi ulivyoanza, ulimwengu ambao umeanzia na singularity tofauti na singularity yetu hii, iliyotoka katika Big Bang ya miaka bilioni 13.8, kipindi ambacho time and space yetu ilianza, ndiyo unaweza kuitwa "ulimwengu tofauti". Rejea "Multiverse Theory", soma "The Cosmic Landscape: String Theory And The Illussion of Intelligent Design" cha Lawrence Susskind.

"Ulimwengu tofauti" unakuwa defined na singularity tofauti iliyouzaa, kama sehemu ya ulimwengu wetu huu iko mbali sana, na hatujauona mwanga wa nyota zake, huo si ulimwengu tofauti, hiyo ni sehemu ya ulimwengu huu tusiyoweza kuiona wala kuwasiliana nayo.

Yani nikama vile ukisema "hii ni familia tofauti" unamaanisha kwamba ni watu waliozaliwa na baba na mama tofauti na familia yenu.

Ndugu yako wa baba mmoja mama mmoja akienda mbali sana na kwenu, hata kama hamna mawasiliano naye, bado ni mtu wa familia yenu.

Ukweli kwamba kawa mbali sana na kwenu na hamna mawasiliano naye, haufanyi awe mtu wa familia tofauti na yenu.

Thanks for the tag Behaviourist
Hapo namba 2 ..ulimwengu unapanuka zaidi ya speed ya mwanga
Nina uhakika unafahamu kuwa kadri galaxies zinapokuwa mbali na Galaxy nyingine ndivyo speed ya kupanuka inavyoongezeka.
Najua speed ya mwanga ni karibia km 300,000 kwa sekunde lakini vivyo hivyo speed ya galaxies zilizo umbali wa 90,000,000,000 billion light years ni kubwa kuliko hata ya mwanga (I stand to be corrected though).

IMG_0100.jpg
 
Nina uhakika unafahamu kuwa kadri galaxies zinapokuwa mbali na Galaxy nyingine ndivyo speed ya kupanuka inavyoongezeka.
Najua speed ya mwanga ni karibia km 300,000 kwa sekunde lakini vivyo hivyo speed ya galaxies zilizo umbali wa 90,000,000,000 billion light years ni kubwa kuliko hata ya mwanga (I stand to be corrected though).

View attachment 934744
Swali la kizushi kidogo

Linalotokana na uchechefu wangu wa kuchukia dhana inayosema mwanga unasafiri_maana sijawahi kupata mtu anayejibu kwa uhakika zaidi_ wengi ni C&P

1.Niliwahi kuuliza hapo awali sikumbuki ni lini na uzi upi_ ila ilikuwa juu uwezekano wa matungamo ya huko angani kuwaka kwa kiwango kimoja

Nikiwa na maana ya ile reaction ya fusion kati ya nyota moja na nyengine je unalingana...!? Sikuwahi kupata jibu

Namba nisaidie kwanza hilo mengine yatafuata
 
Back
Top Bottom