SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Ili kupunguza foleni kwa sasa wakati tukisubiri ujenzi wa barabara za kupita juu, na kuhakikisha kuwa Sekta Yetu ya Elimu inakuwa bora zaidi kwa ngazi zote (hasa shule za msingi), napendekeza tuanzishe Kodi ya Kuchangia Elimu kwa Kiwango cha Shilingi Elfu 25 kwa Siku kwa kila gari hapa nchini bila kujali linamilikiwa na nani au taasisi gani.
Nawasilisha.
Nawasilisha.