Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Zitto Kabwe huku akitumia ripoti ya fedha ya mwaka ambayo imekuwa audite na CAG kama msingi wa hoja yakehttp://www.bot.go.tz/Publications/FinancialReports/FinancialStatements/2017/FINANCIAL%20STATEMENTS%20JUNE%202017.pdf
Swali lake:
Wakati Ripoti hiyo(Studied Bank of Tanzania Financial Annual Reports) inaonyesha faida kushuka kutoka shilingi bilioni 600 kwa mwaka wa fedha 2015/2016 mpaka kufikia shilingi bilioni 200 katika mwaka wa fedha wa 2016/2017.
Swali lake:
Wakati Ripoti hiyo(Studied Bank of Tanzania Financial Annual Reports) inaonyesha faida kushuka kutoka shilingi bilioni 600 kwa mwaka wa fedha 2015/2016 mpaka kufikia shilingi bilioni 200 katika mwaka wa fedha wa 2016/2017.