Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Anaaandika Dotto Bulendo.
Kindercrazy
1.Wakati polisi wanatangaza kuuwa washukiwa,vyombo vya habari navyo vinatangaza washukiwa wanaua tu.Kindercrazy
2.Wakati watuhumiwa wakuu wa Escrow wakiwa Rumande,mmoja wa waliopata mgao anatangaza hadharani kuwa ni kweli alipokea,anaamua kuzirejesha serikalini.Kindercrazy.
3.Mwaka 2015,serikali walikuwa wakali kwa yeyote aliyesema pesa za Escrow ni za umma,mpaka Mh Rais mstaafu Kikwete aliauambia umma kuwa hizo zilikuwa si pesa za umma,waliosema ni za umma waliitwa tumbili,leo mtuhumiwa wa mgao anapeleka serikalini pesa zilizoitwa na mtu binafsi,sasa sijui ndiyo mwisho hapa?kindercrazy.
4.Sheria ya kutakatisha pesa inasema mtu yeyote ambaye alijipatia ama amejipatia pesa kwa njia haramu na kuziingiza kwenye shughuli halali,atashtakiwa chini ya sheria hii,kwenye huli la Escrow,baadhi wapo Rumande,wengine wamerudisha,wengine hawajarudisha na wapo mtaani tu.kindercrazy.
5.Polisi wanatangaza kuua watuhumiwa wa mauaji huko Pwani,baadhi ya magazeti yanaandika,"Polisi waua"mengine yanaandika,"Polisi yadai kuua".kindercrazy.
6.Vichwa vya treni vinakuja mpaka bandari ya Dsm,vina label ya TRL,Rais anakwenda bandarini anawauliza TRA,TPA,TRL kuwa ni vya nani?wote wanasema hawajui,baadae wanamtandao wanavujisha taarifa kwa vyombo vya habari pmj na video clip inayoongelea vichwa vya treni lakini bado haijulikani ni vya nani?!!.kindercrazy.
7.Hivi ndani ya jamii,polisi na mahakamani ni kwa ajili ya nani?Kindercrazy.
Kindercrazy
1.Wakati polisi wanatangaza kuuwa washukiwa,vyombo vya habari navyo vinatangaza washukiwa wanaua tu.Kindercrazy
2.Wakati watuhumiwa wakuu wa Escrow wakiwa Rumande,mmoja wa waliopata mgao anatangaza hadharani kuwa ni kweli alipokea,anaamua kuzirejesha serikalini.Kindercrazy.
3.Mwaka 2015,serikali walikuwa wakali kwa yeyote aliyesema pesa za Escrow ni za umma,mpaka Mh Rais mstaafu Kikwete aliauambia umma kuwa hizo zilikuwa si pesa za umma,waliosema ni za umma waliitwa tumbili,leo mtuhumiwa wa mgao anapeleka serikalini pesa zilizoitwa na mtu binafsi,sasa sijui ndiyo mwisho hapa?kindercrazy.
4.Sheria ya kutakatisha pesa inasema mtu yeyote ambaye alijipatia ama amejipatia pesa kwa njia haramu na kuziingiza kwenye shughuli halali,atashtakiwa chini ya sheria hii,kwenye huli la Escrow,baadhi wapo Rumande,wengine wamerudisha,wengine hawajarudisha na wapo mtaani tu.kindercrazy.
5.Polisi wanatangaza kuua watuhumiwa wa mauaji huko Pwani,baadhi ya magazeti yanaandika,"Polisi waua"mengine yanaandika,"Polisi yadai kuua".kindercrazy.
6.Vichwa vya treni vinakuja mpaka bandari ya Dsm,vina label ya TRL,Rais anakwenda bandarini anawauliza TRA,TPA,TRL kuwa ni vya nani?wote wanasema hawajui,baadae wanamtandao wanavujisha taarifa kwa vyombo vya habari pmj na video clip inayoongelea vichwa vya treni lakini bado haijulikani ni vya nani?!!.kindercrazy.
7.Hivi ndani ya jamii,polisi na mahakamani ni kwa ajili ya nani?Kindercrazy.