Wakati mwingine tunatawaliwa na vichaa

Wakati mwingine tunatawaliwa na vichaa

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
11,100
Reaction score
13,697
Zine-al-Abidine-Ben-Ali-a-007.jpg
Ben Ali na mkewe Leila Trabelsi
_64920587_64920586.jpg
029082011115150000000maisontrabelsi.jpg
Nyumba ya Ben Ali rais wa zamani wa Tunisia
7418ed7799fa2ae466a00adefbef5112_XL.jpg
Gari la bei mbaya inasemekana alikuwa na zaidi ya 40. Mabunda ya noti
8296437373_aaf37863fd_b.jpg
cha kulala cha Ben Ali
IBT-FUITE.png
Ndege binafsi ya Ben Ali
 
Taabu inaletwa na ULAFI unapotawala roho na akili za viongozi wetu hadi wanajibadili na kuwa WATAWALA!
 
Mimi ninachoomba tu kuwa hii katiba mpya iwe na kipengele cha kuchunguza utajiri wa marais wetu na viongozi pia. Ninahapa kwa Mungu, haiwezekani Ridhiwani akawa tajiri kivile lazima baba yake atakuwa analimbikiza mali zetu kwa manufaa yake.
 
Back
Top Bottom