Habari wandugu?
Kama tunavyofahamu kua katika Bunge la bajeti kwa mwaka wa fedha 2016/2017 imepitishwa kulipisha kodi ya ongezeko la thamani yaani (VAT) kwa kila muamala wa kifedha kwenye huduma za mabenki, tigo pesa, m pesa, airtell money, ezzy pesa pamoja na miamala katika masoko ya hisa.
Kwa faida ya wasiofahamu ni kwamba, bima hua hailipiwi kodi pindi mteja wa bima anapopata malipo yake, hivyo kwa wale wenye malengo ya mda mrefu kama kusomesha watoto, kutaka kufanya uwekezaji kwa siku za mbeleni, na wenye malengo mbali mbali, huu ni wakati sahihi wa kuchagua kukata Bima ya Maisha kwa ajili yako na wale uwapendao.
Kwa maelezo zaidi kuhusu kampuni bora ya kukata Bima hii ya maisha, na elim kuhusu Bima ya maisha (elim isiyo na malipo) usisite kuwasiliana nami kwa sim namba +255 652 876811 au +255 754 455865 au email: sam_mpema@yahoo.com
Ahsanteni wakuu.
Kama tunavyofahamu kua katika Bunge la bajeti kwa mwaka wa fedha 2016/2017 imepitishwa kulipisha kodi ya ongezeko la thamani yaani (VAT) kwa kila muamala wa kifedha kwenye huduma za mabenki, tigo pesa, m pesa, airtell money, ezzy pesa pamoja na miamala katika masoko ya hisa.
Kwa faida ya wasiofahamu ni kwamba, bima hua hailipiwi kodi pindi mteja wa bima anapopata malipo yake, hivyo kwa wale wenye malengo ya mda mrefu kama kusomesha watoto, kutaka kufanya uwekezaji kwa siku za mbeleni, na wenye malengo mbali mbali, huu ni wakati sahihi wa kuchagua kukata Bima ya Maisha kwa ajili yako na wale uwapendao.
Kwa maelezo zaidi kuhusu kampuni bora ya kukata Bima hii ya maisha, na elim kuhusu Bima ya maisha (elim isiyo na malipo) usisite kuwasiliana nami kwa sim namba +255 652 876811 au +255 754 455865 au email: sam_mpema@yahoo.com
Ahsanteni wakuu.