Wakati Acacia ikifungasha virago, tukumbushane mambo ya kijinga tuliyokuwa tunafanya mgodini

Ndugu gharama tu za kutumia umeme kwa siku hapo mgodini laiti kama tungepata mtaalamu wa hapo mgodini atuletee figure hapa watu wasingeamini. Machine karibia zote zinazotumika kuvuna dhahabu isipokuwa Jackhammer ambayo hutumia upepo na maji zote hutumia umeme mwiiiiiiingi ajabu

Bill ya Umeme ni wastani wa Bn 3.5 kwa mwezi
 
Hawa wa Tulawaka nahisi maelekezo toka juu ndio yanawakwamisha hawafanyi kazi kwa utashi wao
Mkuu...
Tulawaka waliingizwa choo cha watoto kama ukikumbuka stori ya Pangea unaweza ukapata mtazamo wa mwanzo wa sinema ilivyo kua...
 
Kwa taarifa yako mgodi wa Bulyanhulu hauruhusu kuingia na camera wala simu. Hizi picha huwa wanazipiga ma safety officers wakija kukagua usalama na tulikuwa tunawaomba watupige kama kumbukumbu na baadae wanatupatia tukitoka shimoni. Ukikamatwa na camera au simu siku hiyo hiyo kazi huna. Lidhika tu na hizo zingine zipo nikiwa naonekana kwa picha hivyo siwezi kuziposti hapa. Labda takuwekea zingine tu

HAWARUHUSU KWA MAMBO MAKUU MAWILI: 1=Usalama
2=Picha za mazigira ya kazi akiziona mzazi wako au mke hawezi kukuruhusu kwenda kazini tena na laiti kama wangekuwa wanaruhusu miner arudi nyumbani hivyo hivyo anapotoka shimoni wanawake wangekuwa wanalia siku zote
Mmh hapa naona umetumia lugha ya sanaa na vitisho ndani yake mkuu
 
Back
Top Bottom