Kwakweli!Dah wanaume Mungu atujalie
Mkuu we endelea, achana nae huyo hajui ulipoanzia. Sie wafuatiliaji wako tunakupata sana.Sijakuelewa mkuu hebu fafanua
Nifafanulie mkuuHizo ni stori za Ngoswe ungeziwacha kwa mwenyewe tu
Huo ndio ukweli mkuuMmh hapa naona umetumia lugha ya sanaa na vitisho ndani yake mkuu
Katika migodi ya bulyanhulu na buzwagi, mawe yake yana sulfur ya copper. Kwahivyo njia ya kuzalisha dhahabu inayojulikana kama CIL/CIP(Carbon In Leach/Carbon In Pulp) huwezi kupata dhahabu kwa asilimia kubwa bila kuiondoa copper iliyopo kwenye mawe. Sasa hapo ndipo inapoingia froth flotation. Maana yake ni kwamba unaiondoa copper kwa kiasi kikubwa kwa hiyo njia, ndio ukazalishe/kukamata dhahabu kwa njia ya CIL/CIP. Hiyo ndio sababu kubwa ya kutumia Cyanide, tofauti na Mercury (Zebaki) ambayo yenyewe kaziyake kubwa ni kukamata dhahabu.
Mkuu nisamehe sijaelezea vizuri, lakini bilashaka umepata mwanga wa kutambua tofauti ya Cyanide na Mercury kwenye uchenjuwaji wa dhahabu.
Nilisha jaribu kuielezea hapo...Mkuu naomba uielezee cyanide inavyotumika, ni nini hasa?. Inaweza kuwa njia rahisi na ya gharama nafuu kuliko mecury pamoja na kuwa mecury ina madhara kiafya?
Yupo Shanta siku hiziMwalimu wa Jeckleg,SOSIPETER,duuuu kazi kweli kweli
Mwalimu wa Jeckleg,SOSIPETER,duuuu kazi kweli kweli
Sospieter na Carlos kabla hawajaenda Training, walikula sana mvua wakati wana chimba shaft (shaft sinkers). Baada ya hapo ndipo wakaja kuwa pale shatf wakifanya kazi zote na Carlos akiwa kama Cage attendant, kabla ya kupata ajali ya kuvunjika miguu akiwa ndani ya Cage umeme ulipo katika ghafla.....Yupo Shanta siku hizi
Mwanaume?Nakumbuka kuna shift boss mmoja (jina nalihifadhi), alikuwa mkishindwa ku blast anapiga kelele kwa sauti oooohh mmenif............bila mate, mmenif. ck bila kilainishi harafu anapiga meza kwa hasira
Kwanini hip inatokea kaka?Walitengeneza sana pesa,ila wengi imebaki story mtu alikua anamiliki milioni 500 leo kachoka hana kitu,kajitahidi basi ana nyumba ya kuishi
Jinamizi lipi hilo?Tangu 2011 niliacha lkn jinamizi la underground hunitembelea kila mara na hususani hivi karibuni baada ya kuambiwa mgodi umefungwa
Ndoto za mara kwa mara, muda mwingine unaota umeteleza na kudodoka shimoni mara mko mna drill na muda mwingine unaota ukipiga story na rafiki walio pass kwa ajali n. KJinamizi lipi hilo?
Umenkatisha tamaa na mie kutafuta rafiki miner kama wako hivyoAiseee ndoto zako zimetimia sema nikuweke kwa miner wa Tanzanite huyo jamaa mrefu