Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Wana JF,
Ninge penda sana kuona ufanisi wa wizara ya mindombinu (Dr. Maghufuli & Dr. Mwakyembe) waki deal sana na hawa makandarasi fake huku mikoani kwetu wanavyo tutengenezea barabara mbovu na za kisaanii sana. eg Double Roads za Dodoma mjini anacha na ile iendayo singida, Arusha- Njiro kutokea Impalla Hotel kwenda njiro Temdo, Musoma/Shinyanga mjini Rami za kuunga unga tuu, Babati hadi Singida pia mifano michahche kama wana JF mna ya kuongeza ongezeni
Maghufuli / Mwakyembe nategemea sana kuona ufanisi wao wa kazi kutokana na uchapaji kazi wao tuuonavyo na kuhakikisha na kusafisha wakandarasi fake.
Kubwa zaidi tunge penda kujua tamko lao ambalo litawapa imani na uamini kwa wananchi katika wizara hiyo.
Ninge penda sana kuona ufanisi wa wizara ya mindombinu (Dr. Maghufuli & Dr. Mwakyembe) waki deal sana na hawa makandarasi fake huku mikoani kwetu wanavyo tutengenezea barabara mbovu na za kisaanii sana. eg Double Roads za Dodoma mjini anacha na ile iendayo singida, Arusha- Njiro kutokea Impalla Hotel kwenda njiro Temdo, Musoma/Shinyanga mjini Rami za kuunga unga tuu, Babati hadi Singida pia mifano michahche kama wana JF mna ya kuongeza ongezeni
Maghufuli / Mwakyembe nategemea sana kuona ufanisi wao wa kazi kutokana na uchapaji kazi wao tuuonavyo na kuhakikisha na kusafisha wakandarasi fake.
Kubwa zaidi tunge penda kujua tamko lao ambalo litawapa imani na uamini kwa wananchi katika wizara hiyo.