wakali wa freestyle bongo

wakali wa freestyle bongo

taekwondo

Senior Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
131
Reaction score
244
Freestyle au michano huru ni kipaji ambacho sio kila msanii ana uwezo nacho.kuna wasanii ni waandishi wazuri tu,lakini hawawezi kupiga freestyle.binafsi napenda sana kusikiliza mtu anaepiga freestyle na kwa bahati mbaya wote niliokuwa nawapenda wametangulia mbele za haki Albert mangwea na Godzilla.Je ni wakali gani wengine wa freestyle waliobaki bongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freestyle au michano huru ni kipaji ambacho sio kila msanii ana uwezo nacho.kuna wasanii ni waandishi wazuri tu,lakini hawawezi kupiga freestyle.binafsi napenda sana kusikiliza mtu anaepiga freestyle na kwa bahati mbaya wote niliokuwa nawapenda wametangulia mbele za haki Albert mangwea na Godzilla.Je ni wakali gani wengine wa freestyle waliobaki bongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafute kuna MTU anaitwa cado nondo hakuna cha ngwear,nikkimbishi,Chidbeenz kwa bongo hakuna nikisema hakuna namaanisha hakuna...nasidhani kama atakuja tokea....jamaa no freestyler off the dome unlimited....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freestyle au michano huru ni kipaji ambacho sio kila msanii ana uwezo nacho.kuna wasanii ni waandishi wazuri tu,lakini hawawezi kupiga freestyle.binafsi napenda sana kusikiliza mtu anaepiga freestyle na kwa bahati mbaya wote niliokuwa nawapenda wametangulia mbele za haki Albert mangwea na Godzilla.Je ni wakali gani wengine wa freestyle waliobaki bongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafute kuna MTU anaitwa cado nondo hakuna cha ngwear,nikkimbishi,Chidbeenz kwa bongo hakuna nikisema hakuna namaanisha hakuna...nasidhani kama atakuja tokea....jamaa no freestyler off the dome unlimited....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Jamaa yule anajiita Maharifa nae he is good.
Ila ukikutana na Nikki mbishi kalewa pombe mzee unaweza ukamsahau Ngweir
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom