kutoa uhai wako wewe mwenyewe ni kosa kuliko kosa lolote lile kwanza wanasema virtually ni kujaribu kumuua Mungu mwenyewe. hivi mtu anapojiua anadhani ndo mwisho wa maisha? ni mwanzo tu wa maisha mengine kwingine, maisha ambayo huna willingness ya kuamua mambo wewe mwenyewe na cha msingi ni umeenda huo upande wa pili kivipi