proxy JF-Expert Member Jul 3, 2016 1,468 1,329 May 18, 2017 #1 Wadau nahitaji kifanya biashara ya kuuza umeme Yaani kama Wakala, nitumie njia gani itakayonifanya nipate Hii kitu? Naomba michango yenu Wadau.
Wadau nahitaji kifanya biashara ya kuuza umeme Yaani kama Wakala, nitumie njia gani itakayonifanya nipate Hii kitu? Naomba michango yenu Wadau.