Nilikuwa na brand new Nokia Lumia, lakini imeharibika button yake ya kuwasha/kuzima iliyoko pembeni kulia, na hii ni ndani ya miezi 6 tu!.
Naomba mnijuze wazoefu smart phone ambayo ni durable na yenye betri inayokaa muda mrefu. Japo kuisha kwa betri ni tatizo la smartphone nyingi, lakini I believe ziko zenye unafuu, please hii ni factor moja muhimu kwangu mnijuze.
Asanteni
Naomba mnijuze wazoefu smart phone ambayo ni durable na yenye betri inayokaa muda mrefu. Japo kuisha kwa betri ni tatizo la smartphone nyingi, lakini I believe ziko zenye unafuu, please hii ni factor moja muhimu kwangu mnijuze.
Asanteni