Itawachukua mida sana kujua ya kwamba I phone ilitemgenezwa itumike kama simu na mambo mengine machache ya ziada.Na badoooooooo
Had kudownload nyimbo mnaombabushauri????
Ipjone ni upumbavu mtupuuu.
Sikirizen FM radio
Unaijua ipod?Na badoooooooo
Had kudownload nyimbo mnaombabushauri????
Ipjone ni upumbavu mtupuuu.
Sikirizen FM radio
Mimi sio Steve Jobs ila najaribu kuwaelewesha msiozifahamu I phone vizuri. I phone sio simu za Hovyo!Asante Steve Jobs
Unaijua ipod?
Mtu uliyezoea vitu vya bure vyenye ubora wa hali ya chini matumizi ya I phone yatakupa taabu sanaSawa co -founder .
utakuwa umevuruga OS iliyopo, nenda factory reset baada ya kuback up data halafu re-install osIphone7 nimestart inapark kwenye apple logo .msaada please
pakua documentNaomba kuuliza kama kuna anaefahamu App nzuri ya ku-download free music on ios,yaani App ambayo naweza download miziki bila restrictions kama ilivyokuwa kwa zile iDownloader ambazo zimefungiwa .
Naomba kuuliza kama kuna anaefahamu App nzuri ya ku-download free music on ios,yaani App ambayo naweza download miziki bila restrictions kama ilivyokuwa kwa zile iDownloader ambazo zimefungiwa .