GE2025 Wajumbe wamtaka Ndugai ampumzike

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Blessed Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2023
Posts
221
Reaction score
659
Wajumbe wamemchoka ndugai jamani, wanataka wamsaidie kwa lazima apumzike!

Wamechoka kupata mtu yule yule kila siku, wanataka sura mpya yenye mawazo mapya!

Mjumbe alipopata nafasi ya kuuliza swali yeye alisema hana swali bali ana ushauri na kuwaomba wajumbe siku ya kupiga kura wakamsaidia Ndugai kupumzika, hawamtaki arudi tena.

Your browser is not able to display this video.
 
Wajumbe wamemchoka ndugai jamani, wanataka wamsaidie kwa lazima apumzike!

Wamechoka kupata mtu yule yule kila siku, wanataka sura mpya yenye mawazo mapya!
Na tayari aliaga kuwa ikifika 2025 hatagombea tena, wacha yampate kama yaliyompata Mzee wetu kule kwa Kibajaji hadi ikawa aibu kwake aliposhindwa na mhuni Kibajaji.
 
Na tayari aliaga kuwa ikifika 2025 hatagombea tena, wacha yampate kama yaliyompata Mzee wetu kule kwa Kibajaji hadi ikawa aibu kwake aliposhindwa na mhuni Kibajaji.
Akapumzishwa na 'Sir God' kilazima, kumeanza kuchangamka kule kijani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…