Hivi kama aliweza kuwapa nafasi ya kugombea ubunge kina Silinde, Patrobas Katambi na Gwajima huo upendo mbona hakuonyesha kwa wstoto wa Nyerere. Wote kwa pamoja wslipata kuraa 7. Hii kauli ya Magufuli kweli ina walakini kuuma na kupuliza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.