Heheee, yupo kwenye ule uzi wa kutoa stress! Guess ni nani..
ha ha haNimechangia harusi, nimehudhuria misiba, nimeshiriki kupiga wezi..n.k. na watu wanafurahia uwepo wangu mtaani.
Ntalipa mimi.....Aah baba mwenye nyumba ile unanitafutia matatizo yakheee nikikosea mtaja nani atalipa gharama za bifu la kujitakia!?
Ntalipa mimi.....
Nina fweza, unahofu ya nini...
Yaah atm ipo ngwengere...Kama naiona hio ATM ilivyojaa kama simu ya huyu mtuView attachment 513279
Yaah atm ipo ngwengere...
Huyo mwenye simu siyo mjanja, mbona hamna app ya jf...
Hilo profile ni hiyo tango...Haa umeona JF tu,hata watsup na tweeter hamna jua kioo cha simu kimejaa. Vingine kaweka kwenye file moja