N NIMEONA JF-Expert Member Aug 4, 2019 3,865 5,684 Feb 1, 2022 #41 Kambi ya Fisi said: Kabla Mungu hajawalaani atakulaani wewe mtwana wa mafashisti usiye na haya Click to expand... Sina tabia za kizushi, chuki, husda, fitna, uchokonozi wala shari; kwa sababu hiyo, siwezi kulaaniwa kwa matakwa ya mashetani. Punguani we!
Kambi ya Fisi said: Kabla Mungu hajawalaani atakulaani wewe mtwana wa mafashisti usiye na haya Click to expand... Sina tabia za kizushi, chuki, husda, fitna, uchokonozi wala shari; kwa sababu hiyo, siwezi kulaaniwa kwa matakwa ya mashetani. Punguani we!
Kambi ya Fisi JF-Expert Member Feb 3, 2018 13,525 22,019 Feb 1, 2022 #42 NIMEONA said: Sina tabia za kizushi, chuki, husda, fitna, uchokonozi wala shari; kwa sababu hiyo, siwezi kulaaniwa kwa matakwa ya mashetani. Punguani we! Click to expand... Kabla sijawa punguani weye ulikuwa punguani mzoefu, so umenizidi sana upunguani kibaraka wa matembele
NIMEONA said: Sina tabia za kizushi, chuki, husda, fitna, uchokonozi wala shari; kwa sababu hiyo, siwezi kulaaniwa kwa matakwa ya mashetani. Punguani we! Click to expand... Kabla sijawa punguani weye ulikuwa punguani mzoefu, so umenizidi sana upunguani kibaraka wa matembele
Ncha Kali JF-Expert Member Sep 19, 2019 14,537 27,076 Feb 1, 2022 #43 Omusolopogasi said: Sidhani kama ndiye. Huyo mgombea ni Kunji wakati huyo unayemsema ni Kiinjekitile. Click to expand... Kwani hao ni watu wawili tofauti kutoka familia ya Kingunge?
Omusolopogasi said: Sidhani kama ndiye. Huyo mgombea ni Kunji wakati huyo unayemsema ni Kiinjekitile. Click to expand... Kwani hao ni watu wawili tofauti kutoka familia ya Kingunge?
ruhi JF-Expert Member Feb 26, 2012 3,742 5,431 Feb 1, 2022 #44 Ile system ya NEC ya kuweka majina ya wagombea urais uchaguzi wa 2020 Kati ya ccm na CHADEMA hawakuitumia mwaka huu?
Ile system ya NEC ya kuweka majina ya wagombea urais uchaguzi wa 2020 Kati ya ccm na CHADEMA hawakuitumia mwaka huu?
M MINOCYCLINE JF-Expert Member Apr 2, 2015 8,011 16,748 Feb 1, 2022 #46 Kuna Mmoja hadi hivi sasa narudia rudia Kuangalia alivyokuwa akijinadi mbele ya Wabunge na huyu nikiambiwa kuwa ama havuti Bangi au hanywi Gongo nitakuwa wa Kwanza Kutokukubali. Bunge liwe linawapima Kwanza Akili!!!!!
Kuna Mmoja hadi hivi sasa narudia rudia Kuangalia alivyokuwa akijinadi mbele ya Wabunge na huyu nikiambiwa kuwa ama havuti Bangi au hanywi Gongo nitakuwa wa Kwanza Kutokukubali. Bunge liwe linawapima Kwanza Akili!!!!!
UmkhontoweSizwe Platinum Member Dec 19, 2008 8,543 7,756 Feb 1, 2022 #47 Kwani kwenye kugombea urais 2020 Mr #dishlimetilt alienda kupimwa wapi?