The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 2,203
- 3,321
Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe