Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Mbona wao, hujatuandikia elimu zao????
Education
Mike Ezeruonye-TANZANIA KULIMKIMBIZA? amesoma accountancy akapangiwa kufanya kazi Tanzania kwenye benki ambayo jina lake sijalipata, akaona aache kazi kuliko kuja Tanzania , ni katika kipindi hiki ndicho alichoanza kuigiza wakati anawaza aje au asije. Ameshazabwa vibao mara nyingi kutokana na role zake moja wapo ni ile ya Broken MARRIAGE ALIYOCHEZA NA CHIOMA.
Siyo kuwa alikuwa hakupendi Tanzania, ila maneja aliyepangiwa kufanya naye kazi hakuona kuwa atatoka
Emeka Ike-Ana degree ya Mechanical Engineering; ana heshimika sana kwa kuinua kiwango cha Nollywood na ku-invest, alifikia hatua ya kuchukua mkopo ili aanzishe industry ya film
Desmond Ellit; ana degree ya economics
Jim Iyke-amegraduate Jos university degree ya Philosophy
Pat Attah alianza kusoma Port H. University hakumaliza kwa sababu anazojua yeye , aliendela kusomea michezo na alimaliza , he is on the way to school, Ramsey na PAT walianza kuigiza pamoja, Pata anafanya part time,
Chidi Mokeme; kapiga shule ya computer and management
Ramsey Noah??? nani anajua