Za hapa japo sijaingiaga huku muda sasa ila leo nataka kukuhabarisha kazi ya ubuyu(wenye rangi) katika viazi vya kukaanga. Unakata kati kati na kuvichemsha kidogo viaz vyako mbatata bila kusahau kuweka chumvi.
Halafu wachuja maji baada ya hapo wachukua ubuyu wako unaweka maji kias unachuja tunda unabakiwa na mchuzi wake then unanyunyuzia kwenye viazi unaacha kama dakika 2 then waweza kukaanga viaz vyako vyenye rangi nzuri nakuvutia.
kwa kuongezea... Nikiwa sina ubuyu home huwa nahisi kama sina chumvi... Ubuyu unafaa saaana kwa kupika uji.. Na uji wake ni mtaaamu sana ni mbadala ya limao na ndmu.. Napia ubuyu ni virutubisho dawa.. Hii ndio kusema kuwa huwa vinasaidia kuukinga mwili na maradhi fulani fulani yasikupate