Wajenzi wa nyumba za kisasa

Wajenzi wa nyumba za kisasa

Dunga_mawe

Member
Joined
Mar 29, 2023
Posts
24
Reaction score
26
Je, unatarajia kujenga nyumba yako hivi karibuni? Na unataka kujengewa nyumba ya kisasa kwa uaminifu na ubora unaohitajika?
Kama ndivyo basi hujachelewa na tayari umetupata MODERN HOME BUILDERS ambao sisi ndio watu sahihi wa kukujengea nyumba ya ndoto zako na hitaji la moyo wako.
Sisi MODERN HOME BUILDERS tunatoa huduma zifuatazo:
-Ujenzi wa tofali;msingi na boma
-Kupaua
-Finishing za aina zote yaani:kubandika tiles,kupaka rangi,kupiga plasta,kufunga dali za aina zote.
-Kutoa ushauri wa kina kuhusiana na ujenzi wa nyumba.
-Kukarabati nyumba zilizochakaa
Tunafika mkoa wowote ndani ya Tanzania.
Na kubwa zaidi,
Tunafanya kazi zetu kwa mikataba maalum ya makubaliano kati yetu sisi na wewe MTEJA wetu ili kukulinda wewe mteja wetu upate nyumba ya kisasa bila usumbufu.
Karibu sana:
Tupigie kwa Namba za simu;0716414789
Au tembelea kurasa zetu za:
Instagram:modern_home_builders_
Facebook:modern_home_builders_tz
Au kwa barua pepe:
modernhomebuilders12@gmail.com
ASANTE.
 
Je, unatarajia kujenga nyumba yako hivi karibuni? Na unataka kujengewa nyumba ya kisasa kwa uaminifu na ubora unaohitajika?
Kama ndivyo basi hujachelewa na tayari umetupata MODERN HOME BUILDERS ambao sisi ndio watu sahihi wa kukujengea nyumba ya ndoto zako na hitaji la moyo wako.
Sisi MODERN HOME BUILDERS tunatoa huduma zifuatazo:
-Ujenzi wa tofali;msingi na boma
-Kupaua
-Finishing za aina zote yaani:kubandika tiles,kupaka rangi,kupiga plasta,kufunga dali za aina zote.
-Kutoa ushauri wa kina kuhusiana na ujenzi wa nyumba.
-Kukarabati nyumba zilizochakaa
Tunafika mkoa wowote ndani ya Tanzania.
Na kubwa zaidi,
Tunafanya kazi zetu kwa mikataba maalum ya makubaliano kati yetu sisi na wewe MTEJA wetu ili kukulinda wewe mteja wetu upate nyumba ya kisasa bila usumbufu.
Karibu sana:
Tupigie kwa Namba za simu;0716414789
Au tembelea kurasa zetu za:
Instagram:modern_home_builders_
Facebook:modern_home_builders_tz
Au kwa barua pepe:
modernhomebuilders12@gmail.com
ASANTE.
Weka samples ya kazi ulizofanya sasa
 
Back
Top Bottom