Wajamaa wa kizazi kipya Utachoka

Wajamaa wa kizazi kipya Utachoka

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,217
Nchi yetu ina maajabu..wanakila kitu cha kizazi kipya...Wajamaa wa enzi ya Nyerere walijitahidi sana kutofanay chochote cha kimangaribi km kuvaa suti,kuendesha magari ya kifahari ya kibepari,wajamaa mali ya umma haikuwa ikichezewa wala kutumika kwa matumizi binafsi.

Ila wajamaa wa kizazi hiki wanamiliki magari ya kifahari ya kimagharibi kuliko hata mabepari wa huko magharibi...mabilionea wa kimagharibi wengi tuu wanakaa ktk nyumba ndogo,wanatumia computer za zamani sana bila shida,wengine hawana simu ya mkononi...

Wajamaa wa TZ wa kizazi hiki wana HAMMER, wana SUTI ZAIDI YA MOJA,NA WANAOMBA 700m kutoka mfuko wa umma km Pocket money bila shida kabisa...tunaona mengi sana kizazi hiki.Hata kwa vigezo vya mabepari hawa wajamaa wa kizazi kipya wanayo kazi kutofautishwa na mabepari weusi wa Magharibi mwa dunia.

CC: Yericko Nyerere
 
Ni ukweli na hatari kubwa na hawako tayari kutoka madarakani! Kwao cheo ni dhamana ya kufanya ufisadi
 
Ni ukweli na hatari kubwa na hawako tayari kutoka madarakani! Kwao cheo ni dhamana ya kufanya ufisadi
tutafanyaje zaidi ya kurudi ktk basics na kuwaambia watuthibitishie km kweli wanafit ktk huo ujamaa ..Kisha ndio tuwaambie shida za ujamaa.
 
Nchi yetu ina maajabu..wanakila kitu cha kizazi kipya...Wajamaa wa enzi ya Nyerere walijitahidi sana kutofanay chochote cha kimangaribi km kuvaa suti,kuendesha magari ya kifahari ya kibepari,wajamaa mali ya umma haikuwa ikichezewa wala kutumika kwa matumizi binafsi, ....ila wajamaa wa kizazi hiki wanamiliki magari ya kifahari ya kimagharibi kuliko hata mabepari wa huko magharibi...mabilionea wa kimagharibi wengi tuu wanakaa ktk nyumba ndogo,wanatumia computer za zamani sana bila shida,wengine hawana simu ya mkononi...

Wajamaa wa TZ wa kizazi hiki wana HAMMER, wana SUTI ZAIDI YA MOJA,NA WANAOMBA 700m kutoka mfuko wa umma km Pocket money bila shida kabisa...tunaona mengi sana kizazi hiki.Hata kwa vigezo vya mabepari hawa wajamaa wa kizazi kipya wanayo kazi kutofautishwa na mabepari weusi wa Magharibi mwa dunia.

CC: Yericko Nyerere

Ubepari wa kijamaa wanaNchi wakikushtukia kidogo tu wanakutupa km takataka hata hawatataka kusikia ukiwakumbusha hata yale mazuri uliyofanya,ngoja muda uongee...mimi shabiki tu
 
Ubepari wa kijamaa wanaNchi wakikushtukia kidogo tu wanakutupa km takataka hata hawatataka kusikia ukiwakumbusha hata yale mazuri uliyofanya,ngoja muda uongee...mimi shabiki tu
Wajamaa wa kizazi hili wanapiga kelele kwamba tz imebase ktk dollar tuu na mabenki....ila hawataki kabisa ongelea kuhusu ufisadi ,wizi,na upuuzi mwingine....wanaogopa kuongela wizi kwa vile nao wana maslahi.
 
Back
Top Bottom