Willima
Member
- Jul 27, 2022
- 26
- 39
Mgombeaji wa urais wa chama cha Roots George Wajackoya amekana madai kwamba amemuidhinisha mgombea wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga.
Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video inayosambazwa mitandaoni ikimuinyesha akimuidhinisha Odinga imebadilishwa ili kuwapotosha wafuasi wake .
Amesema bado yupo katika kinyang’anyiro cha kuchukua uongozi wa Kenya .
BBC Swahili
Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video inayosambazwa mitandaoni ikimuinyesha akimuidhinisha Odinga imebadilishwa ili kuwapotosha wafuasi wake .
Amesema bado yupo katika kinyang’anyiro cha kuchukua uongozi wa Kenya .
BBC Swahili