Kenya 2022 Wajackoya: Sijamuidhinisha Raila Odinga

Kenya 2022 General Election

Willima

Member
Jul 27, 2022
26
39
Mgombeaji wa urais wa chama cha Roots George Wajackoya amekana madai kwamba amemuidhinisha mgombea wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga.

Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video inayosambazwa mitandaoni ikimuinyesha akimuidhinisha Odinga imebadilishwa ili kuwapotosha wafuasi wake .

Amesema bado yupo katika kinyang’anyiro cha kuchukua uongozi wa Kenya .

IMG_20220804_110156.jpg
IMG_20220803_145704.jpg

BBC Swahili
 
Kwingineko mgombeaji wa urais wa chama cha Roots George Wajackoya amekana madai kwamba amemuidhinisha mbombeaji wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga.

Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video inayosambazwa mitandaoni ikimuinyesha akimuidhinisha Odinga imebadilishwa ili kuwapotosha wafuasi wake .

Amesema bado yupo katika kinyang’anyiro cha kuchukua uongozi wa Kenya .


BBC swahili
Hata atembee uchi hawezi ongoza kenya, akiongoza mniite mbwa nimekaa pale
 
Kwingineko mgombeaji wa urais wa chama cha Roots George Wajackoya amekana madai kwamba amemuidhinisha mgombeaji wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga.

Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video inayosambazwa mitandaoni ikimuinyesha akimuidhinisha Odinga imebadilishwa ili kuwapotosha wafuasi wake .

Amesema bado yupo katika kinyang’anyiro cha kuchukua uongozi wa Kenya.

IMG_20220803_145704.jpg


B8FDDE00-9704-40A0-8B65-987893CE504D.jpeg


Chanzo: BBC Swahili
 
Back
Top Bottom