Waitara: Wabunge wa CCM wanatishwa na Ikulu

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,237
Mbunge wa jimbo la Ukonga Mheshimiwa Mwita Waitara amesema bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania linapitia kipindi kigumu mno na linahitaji maombi kuliko hata Rais JPM.

Akiongea na vijana wa CHADEMA wa Chuo kikuu cha Dodoma katika mkutano wao wa ndani wa chama katika kijiji cha Ng'ong'ona uliohudhuriwa pia na Mbunge Anatrophia Theonest na viongozi wengine wa BAVICHA na BAWACHA, Mh. Waitara amesema mkakati uliopo ni kulifanya bunge kuwa chombo cha kupiga mhuri maamuzi ya serikali chombo kisichohoji chochote. Ametolewa mfano tabia inayoendelea ya kuwalazimisha wabunge wa ccm kukubali kila kitu na kuwapangia nini cha kuzungumza.

"..Wabunge wa ccm wanadaftari lao kila mtu anaandika amechangia nini.."

Mh. Waitara amesema wabunge wa ccm wanaochangia tofauti wanapigiwa simu na ikulu na kutishwa, akiwataja baadhi ya wabunge waliopokea simu za vitisho kutoka kwa Magufuli kutokana na michango yao, amemtaja Mh Marry Nagu na Mh Lusinde.

Pia Mh Waitara alipata nafasi ya kuzungumzia vyuo vikuu ambapo amedai kuwa amepokea data mbalimbali za ufisadi kutoka chuo kikuu cha CBE, ufisadi wa zaidi ya milioni mia nne. Aidha amesema kuna mfanyakazi wa CBE ambaye yupo jela lakini amepandishwa cheo na anaendelea kulipwa mshahara mnono ambao hauonekani unaenda wapi! Amemuomba Mh Rais katika utumbuaji wake awamulike CBE na alipatie bunge uhuru wake limsaidie kutumbua majipu.
 
Inaweza kuwa kweli , maana haiwezekani mbunge ambaye jimbo lake lina matatizo kibao lakini bunge lote mwanzo mwisho anagonga meza tu !
 
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.
 
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.
Mjomba ngoja tusubiri waliotishwa wajieleze wenyewe , lakini kuchukulia kila kinachosemwa na wapinzani kuwa ni porojo ni sawa na kumtumkia kafiri ili upate ujira wako tu , hiyo ni sawa na utumwa .
 
Moshi wa Bangi umeharibu ubongo wake! Yeye anajigeuza Msemaji wa wabunge wa CCM hiyo ndio kazi aliyotumwa na wananchi wake?
 
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.
Yaani lusinde ajiuzulu? Wameamua kuufyata na kutii sauti ya JPM lakini watetezi wa wanyonge hatutakubali wawakilishi wetu kuwekwa kwenye chupa!
 
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.

wangefanya hicho unachosema wakifanye bado ungewapinga tu.....asiyekujua kuwa wewe ni corrupted and blinded spin-master ni nani???
 
Waitara aache hadaa, je yeye anaujasiri wa kupingana Na viongozi wake.?

Wabunge wa Chadema wenyewe hawapo huru, atakachoongea Mbowe lazima wanatii bila shuruti.

Sasa kama wabunge wa CCM wanatishwa si ndio muda wa wao kuonyesha uwezo wao kuikosoa hii Serikali.?
 
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.
Mzee wangu,
Unaweza mwambia Halima Bulembo ajiuzulu sababu hakubaliani na Magu
Ubunge kwa maCCM ni ajira nani atakwenda kinyume na mwajiri wake,hakuna cha msimamo
ie Warioba
 
"Mzee Mwanakijiji, post: 16125824, member: 118"]This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.[/QUOTE]
Mwambie kwanza Magufuli ajiuzulu badala ya kujutia kuwa rais, ndo hao wabunge watajiuzulu.
 
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.
Kwani Mary Nagu aliitwa na PCCB kwaajili gani? Nagu alienda kinyume na msimamo wa Rais akaitwa kutishiwa.... Kama ilivyo Ada njia ya mwongo na mnafiki ni fupi haijapita muda serikali imekula matapishi yake juu ya hoja ya sukari aliyotoa Nagu!! Serikali nzima inasema uhitaji ni Mkubwa wakati awali tuliambiwa ni viwanda vya ndani vinatosheleza!!!

Mbona Aliyosema Nagu akaiwa kutishiwa ndiyo Leo yanatokea??

Ukweli ni kwamba Magu ni dhaifu kuliko ya JK na anatumia nguvu kubwa kuficha udhaifu wake....

Nawewe unatia kinyaa Sana siku hizi hata kinyesi kina thamani pale kitumikapo kama mbolea kuliko Mzee hopeless uliyeishia kumiliki upara kama wewe.
 
Mbunge wa jimbo la Ukonga Mheshimiwa Mwita Waitara amesema bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania linapitia kipindi kigumu mno na linahitaji maombi kuliko hata Rais JPM.

Akiongea na vijana wa CHADEMA wa Chuo kikuu cha Dodoma katika mkutano wao wa ndani wa chama katika kijiji cha Ng'ong'ona uliohudhuriwa pia na Mbunge Anatrophia Theonest na viongozi wengine wa BAVICHA na BAWACHA, Mh. Waitara amesema mkakati uliopo ni kulifanya bunge kuwa chombo cha kupiga mhuri maamuzi ya serikali chombo kisichohoji chochote. Ametolewa mfano tabia inayoendelea ya kuwalazimisha wabunge wa ccm kukubali kila kitu na kuwapangia nini cha kuzungumza.

"..Wabunge wa ccm wanadaftari lao kila mtu anaandika amechangia nini.."

Mh. Waitara amesema wabunge wa ccm wanaochangia tofauti wanapigiwa simu na ikulu na kutishwa, akiwataja baadhi ya wabunge waliopokea simu za vitisho kutoka kwa Magufuli kutokana na michango yao, amemtaja Mh Marry Nagu na Mh Lusinde.

Pia Mh Waitara alipata nafasi ya kuzungumzia vyuo vikuu ambapo amedai kuwa amepokea data mbalimbali za ufisadi kutoka chuo kikuu cha CBE, ufisadi wa zaidi ya milioni mia nne. Aidha amesema kuna mfanyakazi wa CBE ambaye yupo jela lakini amepandishwa cheo na anaendelea kulipwa mshahara mnono ambao hauonekani unaenda wapi! Amemuomba Mh Rais katika utumbuaji wake awamulike CBE na alipatie bunge uhuru wake limsaidie kutumbua majipu.


nchi inaendeshwa kimizuka hujui mamlaka ya rais kwenye media yeye kupora vitu yeye kuwajibu tamwa yeye kuwafanya malaika wawe shetani yeye kulalamikia ma dpp yeye kuhukumu kesi yeye,hujui nguvu ya wazir wala mbunge .
 
Duuu hii kali sasa ,Wabunge wanapigiwa simu kutishwa ? Haya bana sina hata la kusema tena
 
Kwani Mary Nagu aliitwa na PCCB kwaajili gani? Nagu alienda kinyume na msimamo wa Rais akaitwa kutishiwa.... Kama ilivyo Ada njia ya mwongo na mnafiki ni fupi haijapita muda serikali imekula matapishi yake juu ya hoja ya sukari aliyotoa Nagu!! Serikali nzima inasema uhitaji ni Mkubwa wakati awali tuliambiwa ni viwanda vya ndani vinatosheleza!!!

Mbona Aliyosema Nagu akaiwa kutishiwa ndiyo Leo yanatokea??

Ukweli ni kwamba Magu ni dhaifu kuliko ya JK na anatumia nguvu kubwa kuficha udhaifu wake....

Nawewe unatia kinyaa Sana siku hizi hata kinyesi kina thamani pale kitumikapo kama mbolea kuliko Mzee hopeless uliyeishia kumiliki upara kama wewe.
Mungu akupe maisha marefu.
 
This is silly; kama hawa watu ni ni watu wazima wanachotakiwa kufanya - kama madai haya yana chembe ya ukweli - ni kujiuzulu kupinga kutishwa na Ikulu. It is that simple. Nje ya hapo ni porojo tu hizi.
Mzee wangu
Kwa maCCM ubunge ni ajira, na nani atakwenda kinyume na utashi wa mwajiri wake?
Yaani Halima Bulembo ajiuzulu sababu hakubaliani. na Magu?
Wacha mizaha isiyofaa
 
Back
Top Bottom