Waislamu tuendelee kuiheshimu Bibilia

Waislamu tuendelee kuiheshimu Bibilia

Unajua ukitafakari kwa kina utagundua kua jamaa hakuanza tu ghafla from nowhere na kuanza kuchana hicho kitabu

Ukichimba sana utaweza kubaini kulikua na mabishano kati yake na muislam, ambapo ulizuka mjadala kila mtu akitaka kuonesha dini yake ndio ya kweli.

Sasa kinachoonekana hapo muislam alijinadi kua kuran ni kitabu cha mungu na atakayechana kitabu hicho basi kuna baya litamtokea

Mkristo akaona haiwezekani yani uislamu ndiyo iwe dini ya kweli kwa kigezo hicho

Hapo ndipo huyo mkristo alipotoka kifua mbele na kuchana hicho kitabu ili kumthibitishia kua hakuna lolote litakalotokea kama yeye alivyosema na hicho kitabu si cha mungu

Kiukweli ukitaka kuilinda na kukifanya kitabu chenu kieshimike na hata wa wengine wasiokiamini basi jaribuni kutoa hizo dhana za miujiza ambazo m'mekua mkizijenga juu ya vitabu hivyo.

Ukisema hiki ni kitabu cha mungu na kinapswa kueshimiwa kwa taratibu zake ambazo zimewekwa, inatosha.

Sio "unajua hiki kitabu ukichana unageuka kua zombie mara sijui vampaya" sasa mtu akitafakari anawaza mbona hai-make sense matokeo yake anaamua kuchana ili kuthibitisha kama ni kweli





It's Scars
mbona una akili ndogo hivi? nikikwambia nikikufira utapaa angani, na wewe utainama ili nikufire?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona una akili ndogo hivi? nikikwambia nikikufira utapaa angani, na wewe utainama ili nikufire?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha dah mkuu taratibu huyu mdau naheshimiana nae sana so ungetumia mfano ungine kidogo.

Haina maana ni sawa kwa mwingine...ila point ysko ni nzuri sana kwamba mjinga ni yeye anaependa kujaribu vitu kwa kutarajia matarajio ya kukadirika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutaendelea kuiheshimu, kutoichana wala kutoifanyia ubaya wowote biblia yao,,,ila yeyote anaethubutu kufanya ubaya kwenye kitabu chetu Allah amuadhibu adhabu kali hapa duniani na kesho Akhera,,,
 
Hao hawawezi kuifanyia dhihaka biblia kwasababu wanaitegemea kuiba nondo zake na kuziingiza kwenye misahafu yao
 
mbona una akili ndogo hivi? nikikwambia nikikufira utapaa angani, na wewe utainama ili nikufire?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaleta mipasho ya pwani?

Halafu usichokijua unazidi kuwadhalilisha waislamu wenzako, kwasababu wanaamini yule mtu aliyetoa mafundisho ya vitisho dhidi ya atakaechana kuran akili zake ni kama zako


Hili neno "Nikikufira" bilashaka utakua umelitoa kwenye kitabu chenu maana kuna madai kua ni kitabu ambacho hakijaacha kitu na kubwa kuliko ni kitabu kisicho na shaka unaweza ukanipa aya ikinukuu neno hilo?

safuher watu kama hawa ndo wanaofanya vitabu vyenu vidhalilishwe kila kukicha kwa utopolo wa namna hii.

Usikute hoja yangu niliyoitoa akipata fursa ya kuisoma baba yako au mama yako ataiunga mkono na kuona ina make sense, kama baadhi ya wadau humu walivyoikubali sasa utamuambia baba yako kua "nikufire" kwasababu kaunga mkono hoja?



It's Scars
 
Mimi nishachana quran kipindi nasoma Islamic schools....haikutokea kitu.
Si lazima uwehuke badala yake lolote baya linaweza kukutokea. Je, yanayomkuta hivi sasa ni madogo!?
 
Wapo Wachungaji wengi tu wanaosoma na kubeba QUR'AN kila siku ili kuifahamu vizuri

Na ukikaa nao kitako wanaifahamu Qur'an vizuri tu ila huwa hawapendi Ubishi ambao mwisho wake si mzuri.

Ni tofauti na Waislam wapenda vita.

So anayechana Qur'an ni upuuzi wake mwenyewe.


Wabillah Tawfiq,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo Wachungaji wengi tu wanaosoma na kubeba QUR'AN kila siku ili kuifahamu vizuri

Na ukikaa nao kitako wanaifahamu Qur'an vizuri tu ila huwa hawapendi Ubishi ambao mwisho wake si mzuri.

Ni tofauti na Waislam wapenda vita.

So anayechana Qur'an ni upuuzi wake mwenyewe.


Wabillah Tawfiq,

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom