Waislamu tuendelee kuiheshimu Bibilia

safuher

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
11,161
15,839
Kama ambavyo tumekuwa na msimamo tokea zamani wa kutokuidhalilisha bibilia kwa kuichoma moto ama kuikanyaga kanyaga na kuichana chana basi tuendelee na msimamo huo.

Tuendelee kuiheshimu na kutokuikubali kwetu haina maana tuivunjie adabu na kufanya vitendo vya kuamsha hisia kali na watu.

Siku zote anaeanza ugomvi haonekani bali yule anaemaliza ndo huwa anaonekana mgovi.na hii ni kwa sababu kuwa chanzo ni kidogo kuliko matokeo.

Sijajua huwenda waislamu wanaona kuwa kuchana bibilia haisaidii ktu kwani zipo nyingi sana.

Na huwenda wachomao na kuchana Qurani wanaona kuwa watapunguza idadi ya jumla yake.
Au pengine ni ishara ya kuichukia na kuwachukia wafuataji wa jambo hilo.

Yeyote anaekashifu na kuchana vitabu vya imani na kuinua taharuki za watu basi nadhani adhabu tamu itakayomfaa ni kutaka kuchochea uvunjiffu wa amani na utulivu.

Kosa la mmoja tusilipeleke kwa wote,pengine ni john lakini itikadi yake ni sawa na kiranga.

Tudumishe utamaduni wa kuiheshimu bibilia na vitabu vingine,ijapokuwa hutakuja kusikia mtu kajirekodi akiichsna katiba ya Nchi na kuikashifu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado sijaelewa kwakweli.
Ila Kuna jambo la kujifunza kati ya haya madhehebu na itikadi zilizomo.

But nilikuwa naangalia video moja jamaa wamemshika mwanamke wakamuweka shimoni na kuanza kumpiga mawe mpaka kifo, then jamaa wanashangilia baada ya kumuua.
 
Bado sijaelewa kwakweli.
Ila Kuna jambo la kujifunza kati ya haya madhehebu na itikadi zilizomo.

But nilikuwa naangalia video moja jamaa wamemshika mwanamke wakamuweka shimoni na kuanza kumpiga mawe mpaka kifo, then jamaa wanashangilia baada ya kumuua.
Wanashangilia huku wanasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifurahishwi na vitendo vya udhalilishaji dhidi ya dini ya mwengine ila kuna jambo mnatakiwa mlitafakari.

Dhana ya miujiza na vitisho kuwaongopea watu kua kuran ikichanwa mtu aliyeichana anakua zombie ndio source ya haya yote
 
Kama ambavyo tumekuwa na msimamo tokea zamani wa kutokuidhalilisha bibilia kwa kuichoma moto ama kuikanyaga kanyaga na kuichana chana basi tuendelee na msimamo huo.

Tuendelee kuiheshimu na kutokuikubali kwetu haina maana tuivunjie adabu na kufanya vitendo vya kuamsha hisia kali na watu.

Siku zote anaeanza ugomvi haonekani bali yule anaemaliza ndo huwa anaonekana mgovi.na hii ni kwa sababu kuwa chanzo ni kidogo kuliko matokeo.

Sijajua huwenda waislamu wanaona kuwa kuchana bibilia haisaidii ktu kwani zipo nyingi sana.

Na huwenda wachomao na kuchana Qurani wanaona kuwa watapunguza idadi ya jumla yake.
Au pengine ni ishara ya kuichukia na kuwachukia wafuataji wa jambo hilo.

Yeyote anaekashifu na kuchana vitabu vya imani na kuinua taharuki za watu basi nadhani adhabu tamu itakayomfaa ni kutaka kuchochea uvunjiffu wa amani na utulivu.

Kosa la mmoja tusilipeleke kwa wote,pengine ni john lakini itikadi yake ni sawa na kiranga.

Tudumishe utamaduni wa kuiheshimu bibilia na vitabu vingine,ijapokuwa hutakuja kusikia mtu kajirekodi akiichsna katiba ya Nchi na kuikashifu.



Sent using Jamii Forums mobile app
I will never take a damn even if one pees on a bible!
 
Mambo ya vitisho ni kwa watu wababaishaji tu mkuu,hakuns kwenye Qurani kuwa ukiichoma au kuikojolea utapata jambo kadha wa kadha.

Ijapokuwa kutokuwepo kwa hilo hskufanyi iwe halali kufanya hayo.

Jambo zuri nililosema ni kuwa tuendelee kuiheshimu bible.


Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kurekodiwa vile akichsns karatasi tupu haina kitu.

Ila shida kwa nini kuchanwe karatasi za upande fulani lengo nini kama sio kuamsha hisia za watu,sio kila mtu atasema ooh aombewe dua Quran iko pale pale.bali wengine watafika mbali zaidi ya hapo na kuandamana.

Ili kuwazuia hawa wafika mbali lazima kuwe na uwsjibishwaji kwa yule mfanyaji.
Sifurahishwi na vitendo vya udhalilishaji dhidi ya dini ya mwengine ila kuna jambo mnatakiwa mlitafakari.

Dhana ya miujiza na vitisho kuwaongopea watu kua kuran ikichanwa mtu aliyeichana anakua zombie ndio source ya haya yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya vitisho ni kwa watu wababaishaji tu mkuu,hakuns kwenye Qurani kuwa ukiichoma au kuikojolea utapata jambo kadha wa kadha.

Ijapokuwa kutokuwepo kwa hilo hskufanyi iwe halali kufanya hayo.

Jambo zuri nililosema ni kuwa tuendelee kuiheshimu bible.


Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kurekodiwa vile akichsns karatasi tupu haina kitu.

Ila shida kwa nini kuchanwe karatasi za upande fulani lengo nini kama sio kuamsha hisia za watu,sio kila mtu atasema ooh aombewe dua Quran iko pale pale.bali wengine watafika mbali zaidi ya hapo na kuandamana.

Ili kuwazuia hawa wafika mbali lazima kuwe na uwsjibishwaji kwa yule mfanyaji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unajua ukitafakari kwa kina utagundua kua jamaa hakuanza tu ghafla from nowhere na kuanza kuchana hicho kitabu

Ukichimba sana utaweza kubaini kulikua na mabishano kati yake na muislam, ambapo ulizuka mjadala kila mtu akitaka kuonesha dini yake ndio ya kweli.

Sasa kinachoonekana hapo muislam alijinadi kua kuran ni kitabu cha mungu na atakayechana kitabu hicho basi kuna baya litamtokea

Mkristo akaona haiwezekani yani uislamu ndiyo iwe dini ya kweli kwa kigezo hicho

Hapo ndipo huyo mkristo alipotoka kifua mbele na kuchana hicho kitabu ili kumthibitishia kua hakuna lolote litakalotokea kama yeye alivyosema na hicho kitabu si cha mungu

Kiukweli ukitaka kuilinda na kukifanya kitabu chenu kieshimike na hata wa wengine wasiokiamini basi jaribuni kutoa hizo dhana za miujiza ambazo m'mekua mkizijenga juu ya vitabu hivyo.

Ukisema hiki ni kitabu cha mungu na kinapswa kueshimiwa kwa taratibu zake ambazo zimewekwa, inatosha.

Sio "unajua hiki kitabu ukichana unageuka kua zombie mara sijui vampaya" sasa mtu akitafakari anawaza mbona hai-make sense matokeo yake anaamua kuchana ili kuthibitisha kama ni kweli





It's Scars
 
Unajua ukitafakari kwa kina utagundua kua jamaa hakuanza tu ghafla from nowhere na kuanza kuchana hicho kitabu

Ukichimba sana utaweza kubaini kulikua na mabishano kati yake na muislam, ambapo ulizuka mjadala kila mtu akitaka kuonesha dini yake ndio ya kweli.

Sasa kinachoonekana hapo muislam alijinadi kua kuran ni kitabu cha mungu na atakayechana kitabu hicho basi kuna baya litamtokea

Mkristo akaona haiwezekani yani uislamu ndiyo iwe dini ya kweli kwa kigezo hicho

Hapo ndipo huyo mkristo alipotoka kifua mbele na kuchana hicho kitabu ili kumthibitishia kua hakuna lolote litakalotokea kama yeye alivyosema na hicho kitabu si cha mungu

Kiukweli ukitaka kuilinda na kukifanya kitabu chenu kieshimike na hata wa wengine wasiokiamini basi jaribuni kutoa hizo dhana za miujiza ambazo m'mekua mkizijenga juu ya vitabu hivyo.

Ukisema hiki ni kitabu cha mungu na kinapswa kueshimiwa kwa taratibu zake ambazo zimewekwa, inatosha.

Sio "unajua hiki kitabu ukichana unageuka kua zombie mara sijui vampaya" sasa mtu akitafakari anawaza mbona hai-make sense matokeo yake anaamua kuchana ili kuthibitisha kama ni kweli





It's Scars
Wote walikuwa wajinga tu.

Mtume huyo alokuja na Qurani alifanyiwa vitimbi na watu wa makka na wakawa wanadunda asubuhi yake wakininadi tu.

Mimi naungana na wewe kwa hilo kuwa haiko official katika uislamu kwamba ati ukikojolea ama kuchana litakukuta jambo fulani ni watu wanatunga tu.

Khna picha ilikuwa inasambaa zamani miaka kama 10 Hadi 13 nyuma kuna jamaa ana mkia ati alikojolea Qurani,nikawa naziangalia alafu nasema dah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Biblia ni kitabu Kama vitabu vingine ukichana tutaprint vingine kwenye stationary ya kanisa" alisema Paroko wangu

Sent using OPPO Mobile Phone
 
Sifurahishwi na vitendo vya udhalilishaji dhidi ya dini ya mwengine ila kuna jambo mnatakiwa mlitafakari.

Dhana ya miujiza na vitisho kuwaongopea watu kua kuran ikichanwa mtu aliyeichana anakua zombie ndio source ya haya yote
Si lazima uwehuke badala yake lolote baya linaweza kukutokea. Je, yanayomkuta hivi sasa ni madogo!?
 
Back
Top Bottom