Waislamu Ikataeni CCM

Asalam Aleikum waungwana. Leo mimi kama mtanzania mwenye uchungu na watanzania wa dini zote naomba kuchukua nafasi hii kuwashauri ndugu zangu waislamu. ACHANENI NA CCM INAWALOSTISHA. SAbabu ni nyingi ila nawapa hizi chache hapa chini:
Eh! Kumbe Waislam si Watanzania.
 
Akili ndogo sana, yaaini waislamu watoke halafu nani abaki. Unataka kutenganisha wana wa nchi. Hii post ni mbovu sana kwa Mwana JF mwenye kuipenda nchi. Udini mtupu.
 

Mimi nina suluhisho la Mahakama ya Kadhi na OIC! Mahakama za Kadhi zianzishwe na waislamu wenyewe na kugharamiwa nao! OIC wajiunge BAKWATA ambayo inawahusu Waislamu pekee! Haya mambo ya kujiunga na chama chenye mrengo wa kidini ili kupata upendeleo fulani itawahangaisha mpaka kaburini, madai yenu hayataisha milele hata mkipewa vyuo 20 vya TANESCO kuvigeuza kuwa vyuo vikuu vya kiislamu!
 
Zitto na Arfi si wajinga kama wewe Zubeda? Sijawahi kusoma sread yako ikani-impess hivi una elimu gani? Nina wasiwasi sana nawe Zubeda
 

Sasa kama huna suluhisho, ni vipi tena uwashauri Waislamu walioko CCM wajiondoe wakati CCM ni chama cha kisiasa halali kama vyama vingine!
Wewe ni sawa na mtu anae mshauri mke aachane na mumewe halafu hana mume mbadala! sasa unataka huyo mke awe Malaya? anae chukuliwa na kila mtu?

Waislamu wana haki kudai mahakama yao ya kadhi waliokuwa nayo tangu enzi na enzi! hata Wakristo waliingia MOU na Serikali ili kupewa sadaka toka ktk kodi za wa TZ ili kuendesha shule na hospitali zao!
Ama kuhusu BAKWATA ndio ijiunge na OIC, hii ni hoja dhaifu kwa sababu OIC sio jumuiya za kidini bali ni umoja wa nchi mbalimbali wa maendeleo ya kiuchumi na sio lazima nchi mwanachama iwe ni ya kiislamu bali iwe na angalau Waislamu kama ilivyo Msumbiji, Uganda, Bukina Faso nk! nchi hizi sio za Kiislamu bali zina Waislamu kidogo hivyo OIC husaidia maendeleo ya hizi nchi kwa ujumla na inawahusu hata wasio Waislamu!

Kama wewe unapinga TZ isijiunge na OIC basi huitakii mema nchi yetu! kwani unaonyesha hutaki WaTZ wapate maendeleo kwa kupitia mikopo isio na riba toka OIC na unataka nchi yetu iendelee kupata mikopo toka nchi za KIkristo yenye masharti hatari na yenye riba kubwa!
Jamani udini ni hatari na adui mkubwa!!!!
 
CUF kwa kuwa ni chama cha waislamu... Full stop

Unaona sasa, hata kipofu haambiwi tazama, Hivi vyama havipo balanced na vinajisahau, vikajikuta vimeegea upande fulani wa dini, halafu vaitwa vya kidini. Kwa taarifa yenu a lot of effort is put to ballance even the government. Kalaga bao, eti kubalance vyama ni crap. Hamna inteligensia ndani ya vyama vyenu, hapo ndio CCM inawapiga bao.
 
Waislamu wanadanganywa na kikwete kuwa yeye anachukiwa kwa sababu ya dini yake. Anatumia hoja hiyo ili tusijadili udhaifu wake wa kushindiwa kuwawajibisha maswahiba wake ambao hata hivyo wengi wao ni wakristo akiwapo lowasa, chenge nk
 
Zitto na Arfi si wajinga kama wewe Zubeda? Sijawahi kusoma sread yako ikani-impess hivi una elimu gani? Nina wasiwasi sana nawe Zubeda

Wewe Elimu yako ni ya kiwango gani? una digrii ngapi vile? jee, elimu yako imesaidia kiasi gani maendeleo ya TZ? jee, elimu unayodai unayo, imechangia vipi kupunguza umaskini, ujinga, maradhi na rushwa iliyooza na kunuka ktk nchi yetu?

Nyinyi mnaojidai kuwa mmesoma ndio wala rushwa wakubwa ktk nchi hii kwa sababu idara zote za Serikali na mashirika yote ya umma na binafsi wanaofanya kazi za maamuzi!!
Msomi kama wewe ndie aliechangia umaskini mkubwa unao mgubika mTANZANIA wa leo!
Msomi kama wewe ndie yule anaetoa dawa hospitalini zilizoisha wakati wake na kusababisha kifo cha mgonjwa!
Msomi kama wewe ndie yule anaeiba mtihani na kumuuzia mwanafunzi ili afaulu mtihani na kusababisha watu wajinga kama nyinyi kutunukiwa shahada hewa?

Kama faida ya kusoma ndio kama hii tunayoshuhudia hapa nchini ya kupata wasomi kama nyinyi! basi ni msiba mkubwa kwa taifa letu na vizazi vijavyo!
 

Kwanza naomba nikuulize umeishia darasa la ngapi mzee maana uandishi huu unatisha kama sio kusikitisha.

Pili maneno unayoyasema yana ukweli ndani yake (hasa katika kutofautisha baina ya muislam na waislam) lakini hayana mshiko. Kwanza kabisa elewa watanzania ni jamii inayotokana na mchanganyiko wa waislamu, wakristo, wapagani na wengineo. Sasa ukishalifahamu hilo kisha twende katika nini siasa. Siasa ni mitazamo yenye kusaidia kuendeleza taifa (au kwa jina jengine ni ideology). Sasa unapowashauri waislamu waikatae CCM je unamaana hao waislamu wote watakuwa na the same political ideology? Jibu hapana kwani kila mmoja ana mtazamo wake.

Tatu umezungumzia hoja ya OIC na Mahakama ya Kadhi nani kakuambia haifanyiwi kazi? Au ndio umetumwa uje kutuambia ili tuvunjike moyo ulizia humo ndani utafahamu kitu gani kinaendelea. Hivi vitu serikali ya Tanzania haina hoja ya msingi ya kuvikataa kwani vinaviolate the basic principles za the so called secular state. Wakizikataa tuaenda mahakamani kudai huko tutajua kama serikali hii ni ya nani kwani kuna vitu bila ya kivisimimamia kidete havitakaa vieleweke. Hivyo basi usifikiri hiyo Hoja imekufa au haishughulikiwi kaa usubiri uone ndio useme.

Mwisho umesema kama haitatekelezwa tukihame Chama Cha Mapinduzi swali je waislamu waende wapi wakihama chama cha mapinduzi? Ndio utakuta hii nchi inakoelekea ni kuparaganyika kama sio kupotea katika ramani. Unajua cheza na watu na makabila yao ila usicheze na watu na imani zao. Mahakama ya kadhi ni sehemu ya maisha ya mtanzania anayeabudu dini ya kiislamu hivyo basi kumnyima mahakama ya kadhi ni kumnyima nafasi ya kufanya ibada yake. Vilevile kumnyima mahakama ya kadhi ni kumnyima haki ya kisheria ambalo ni jukumu ya mahakama ya nchi kutoa huduma hiyo. Hivyo kama waislamu wanavyowavumilia sheria zenu za kianglikana na kikatoliki katika mahakama za sasa na sie tuvumilieni na mahakama ya kadhi tutaenda vizuri vyenginevyo mnatafuta ushari.
 

Asante! mimi nilikuwa sijui kama Mahakama zetu TZ huendeshwa kwa sheria za Kimalkia wa Uingereza(Anglikana) na za kikatoliki! sasa inabidi Waislamu nao wapewe Mahakama zao!
 
Mohamed Shossi said:
Kwanini CUF wapeni sababu

..kwasababu CUF wanaunga mkono mahakama ya Kadhi na Tanzania kujiunga na OIC.

..pia CUF hawajawahi kuua Waislamu.

..CCM na serikali zake wameua Waislamu Mwembechai, na Pemba.
 
Haaaa unachekesha kaka mlisha onyesha tangu mwanzo kuwa chadema ni chama cha kanisa ndio maana mlimsimamisha mchungaji agombee.mmekosa ndio mnarudi kutafuta wanachama wa kiislam,tutajiunga baada ya slaa kuoa maa takrab zinaaaaaaaaa

humo kichwani kwako kuna akili au kuna tope?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…