bora charity umesema ivyo. Tatizo awa jamaa wanaenda kidinidini mno, hata aibu hawana, hivi kwanini waandamane kwaajili ya dini yao tu na si kwaajili ya kuikomboa nchi ya Tanzania toka mikononi mwa ccm? hii ni aibu halafu wanakera kupindukia, hawana hata aibu kwenye hii nchi tunayotakiwa kuwa na umoja mtu anakuja leo ati anaandamana kwasababu ya matakwa ya dini yake...wakimaliza hao wakristo tukaandamana kwa matakwa yetu, wakija hao wanakuja waganga wa kienyeji kuandamana, wakimaliza hao wanakuja wahindu, badaye wabudha, hili taifa litagawanyika vifunguvifungu kidini hadi likome...huu ni upuuzi na inakera kusikiliza.
Lakini chari, kwa upande mwengine, kwanini umetoa ile avatar yako ya mwanzo? nilikuwa naipenda sana ile avatar nikiiangalia,..hahaha.