Waislam tujiepushe na April fool

Waislam tujiepushe na April fool

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,509
Reaction score
12,716
Mtume ﷺ alisema:
"Ole wake mtu anayesema uongo ili kuwachekesha watu. Ole wake! Ole wake!"
(Sunan Abu Dawood, 4990; Tirmidhi, 2315)


2. Mtume ﷺ alisema:
“Muumini anaweza kuwa na sifa yoyote ile, isipokuwa uongo na hiyana.”
(Musnad Ahmad, 5492)


3. Mtume ﷺ alisema:
“Hakika uongo hupelekea uovu, na uovu hupelekea motoni.”
(Sahih Bukhari, 6094; Sahih Muslim, 2607

Waislam tujiepushe na siku hii kwa kusema uongo kwa wengine
 
Mtume ﷺ alisema:
"Ole wake mtu anayesema uongo ili kuwachekesha watu. Ole wake! Ole wake!"
(Sunan Abu Dawood, 4990; Tirmidhi, 2315)


2. Mtume ﷺ alisema:
“Muumini anaweza kuwa na sifa yoyote ile, isipokuwa uongo na hiyana.”
(Musnad Ahmad, 5492)


3. Mtume ﷺ alisema:
“Hakika uongo hupelekea uovu, na uovu hupelekea motoni.”
(Sahih Bukhari, 6094; Sahih Muslim, 2607

Waislam tujiepushe na siku hii kwa kusema uongo kwa wengine
 
Hao waislam wanaishi nchi au dunia hii peke yao? Watataingizwa mkenge tu april fool. Huwezi kutenga waislam na jamii kubwa tanzania na duniani. Waislam sio wa kipekee
 
Mtume ﷺ alisema:
"Ole wake mtu anayesema uongo ili kuwachekesha watu. Ole wake! Ole wake!"
(Sunan Abu Dawood, 4990; Tirmidhi, 2315)


2. Mtume ﷺ alisema:
“Muumini anaweza kuwa na sifa yoyote ile, isipokuwa uongo na hiyana.”
(Musnad Ahmad, 5492)


3. Mtume ﷺ alisema:
“Hakika uongo hupelekea uovu, na uovu hupelekea motoni.”
(Sahih Bukhari, 6094; Sahih Muslim, 2607

Waislam tujiepushe na siku hii kwa kusema uongo kwa wengine
Mtume huyu anaye split moon!
Screenshot_20250331-221427_Chrome.jpg
 
Mtume ﷺ alisema:
"Ole wake mtu anayesema uongo ili kuwachekesha watu. Ole wake! Ole wake!"
(Sunan Abu Dawood, 4990; Tirmidhi, 2315)


2. Mtume ﷺ alisema:
“Muumini anaweza kuwa na sifa yoyote ile, isipokuwa uongo na hiyana.”
(Musnad Ahmad, 5492)


3. Mtume ﷺ alisema:
“Hakika uongo hupelekea uovu, na uovu hupelekea motoni.”
(Sahih Bukhari, 6094; Sahih Muslim, 2607

Waislam tujiepushe na siku hii kwa kusema uongo kwa wengine
Acha udini hautakusaidia lolote, Zaid utakufa na roho mbaya yako tu.
 
Back
Top Bottom