Kuna watu wanataka kuwalazimisha wengine watangaze hali zao za afya,suala la afya ni suala la mtu binafsi.
Kikwete ameanguka zaidi ya mara tatu na hakuna tulichoambiwa kuhusu tatizo la afya yake,tuanze kumshinikiza rais atangaze kwanza kinachomsumbua,wafuatie viongozi kisha ije zamu ya raia,kwa taarifa yenu kikwete kanywa kikombe cha babu na amepona ila hajapenda kutangaza