Waishitaki INEC wakitaka irekebishe kanuni za maadili

Waishitaki INEC wakitaka irekebishe kanuni za maadili

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Wanaharakati wanaojitambulisha Raia ni Sisi, Kumbusho Kagine na Bubelwa Kaiza wamefungua kesi namba 12670/2025 kupitia mtandao dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama itoe amri ya kurekebisha upungufu uliomo kwenye Kanuzi za Maadili ya Uchaguzi.

Taarifa kutoka kwa Raia ni Sisi wanaowakilishwa na mawakili wasomi Mpoki Bukuku na Jebra Kambole imesema kesi imetajwa leo Jumatano, Juni 25, 2025 mbele ya Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma.

Taarifa Zaidi zinadai kuwa Serikali imeweka pingamizi dhidi ya umahiri wa kiapo.

“Jaji Kagomba amepanga kusikiliza na kutolea uamuzi pingamizi la wajibu maombi siku ya Alhamisi Julai 3, kisha, iwapo ataona pingamizi halina mashiko, kuendelea kusikiliza shauri hilo. Shauri litasikilizwa Mahakama ya Wazi, [Mahakama Kuu] Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Raia ni Sisi.
 
Wanaharakati wanaojitambulisha Raia ni Sisi, Kumbusho Kagine na Bubelwa Kaiza wamefungua kesi namba 12670/2025 kupitia mtandao dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama itoe amri ya kurekebisha upungufu uliomo kwenye Kanuzi za Maadili ya Uchaguzi.

Taarifa kutoka kwa Raia ni Sisi wanaowakilishwa na mawakili wasomi Mpoki Bukuku na Jebra Kambole imesema kesi imetajwa leo Jumatano, Juni 25, 2025 mbele ya Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma.

Taarifa Zaidi zinadai kuwa Serikali imeweka pingamizi dhidi ya umahiri wa kiapo.

“Jaji Kagomba amepanga kusikiliza na kutolea uamuzi pingamizi la wajibu maombi siku ya Alhamisi Julai 3, kisha, iwapo ataona pingamizi halina mashiko, kuendelea kusikiliza shauri hilo. Shauri litasikilizwa Mahakama ya Wazi, [Mahakama Kuu] Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Raia ni Sisi.
Well and fine. Kwa mahakama zipi? All in all ngoja waandike historia ya collapsed judiciary in Tanzania
 
Labda ingekuwa Kenya 🇰🇪

Hata kama kuna 100% impunity ndani ya nchi, kufungua kesi tu kunaweka records tusiwakatishe tamaa wanaothubutu kumshika kende mfalme wandugu, something must be done ili kumkera mkubwa na kumuonyesha kwamba watanzania wanakerwa sana na anavyowatreat.

Habari ya "labda ingekuwa kenya" is null and void! Tuwatie moyo wanaothubutu wakijua kabisa wanaweza kutekwa na kupotezwa wakati sisi tupo kwenye keyboard! Hawafanyi kwa ajili ya familia zao kama machawa na uvisisiemu, wanafanya kwa ajili ya taifa, setting PRECEDENCE💪💪💪
 
Hata kama kuna 100% impunity, kufungua kesi tu kunaweka records tusiwakatishe tamaa wanaothubutu kumshika kende mfalme wandugu, something must be done ili kumkera mkubwa na kumuonyesha watanzania wanakerwa sana na anavyowatreat.

Habari ya "labda ingekuwa kenya" is null and void! Tuwatie moyo wanaothubutu wakijua kabisa wanaweza kutekwa na kupotezwa wakati sisi tupo kwenye keyboard! Hawafanyi kwa ajili ya familia zao kama machawa na uvisisiemu, wanafanya kwa ajili ya taifa💪💪💪
Kabisa, upo sahihi!!
 
Wanaharakati wanaojitambulisha Raia ni Sisi, Kumbusho Kagine na Bubelwa Kaiza wamefungua kesi namba 12670/2025 kupitia mtandao dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama itoe amri ya kurekebisha upungufu uliomo kwenye Kanuzi za Maadili ya Uchaguzi.

Taarifa kutoka kwa Raia ni Sisi wanaowakilishwa na mawakili wasomi Mpoki Bukuku na Jebra Kambole imesema kesi imetajwa leo Jumatano, Juni 25, 2025 mbele ya Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma.

Taarifa Zaidi zinadai kuwa Serikali imeweka pingamizi dhidi ya umahiri wa kiapo.

“Jaji Kagomba amepanga kusikiliza na kutolea uamuzi pingamizi la wajibu maombi siku ya Alhamisi Julai 3, kisha, iwapo ataona pingamizi halina mashiko, kuendelea kusikiliza shauri hilo. Shauri litasikilizwa Mahakama ya Wazi, [Mahakama Kuu] Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Raia ni Sisi.
Nilitamani kesi hizi zifunguliwe nyingi
 
Wanaharakati wanaojitambulisha Raia ni Sisi, Kumbusho Kagine na Bubelwa Kaiza wamefungua kesi namba 12670/2025 kupitia mtandao dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama itoe amri ya kurekebisha upungufu uliomo kwenye Kanuzi za Maadili ya Uchaguzi.

Taarifa kutoka kwa Raia ni Sisi wanaowakilishwa na mawakili wasomi Mpoki Bukuku na Jebra Kambole imesema kesi imetajwa leo Jumatano, Juni 25, 2025 mbele ya Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma.

Taarifa Zaidi zinadai kuwa Serikali imeweka pingamizi dhidi ya umahiri wa kiapo.

“Jaji Kagomba amepanga kusikiliza na kutolea uamuzi pingamizi la wajibu maombi siku ya Alhamisi Julai 3, kisha, iwapo ataona pingamizi halina mashiko, kuendelea kusikiliza shauri hilo. Shauri litasikilizwa Mahakama ya Wazi, [Mahakama Kuu] Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Raia ni Sisi.
Hizi ni drama tu ,kwamba INEC ipo na vilaza sana ambao hawajui kilichofanyika ni sahii au sio sahii,wanajua sana mbele ya Mungu wangu kwamba walicho kifanya sio sahii.

So hatutaki drama apa, msajili wa vyama anajua sana that's hawezi kuiadabisha ccm pamoja na makosa yaliyo wazi kabisa, ila kwake ni chadema tu
 
Kama mama atavunja Bunge 27,shauri litafanyiwa maamuzi ya kimkakati!!

Kama akifuata nyendo za mwinyi huko Zanzibar,atatuambia anatekeleza ilani ya uchaguzi upi coz mitano ya awamu ya jpm imeisha na lazima tuinadi ilani mpya!je hao wabunge watakua wanajadili nini!!?

Au shauri la mahakama kuhusu kesi ndio litaendeleza Bunge ili wajadili tume huru!!!?

Ngoja nione!!

Sisi ni Raia!!
 
Back
Top Bottom