Waimba taarabu wote wa kiume


Mkuu una uhakika na unachosema?

Kama unaushahidi hebu weka hapa, usiongee mambo kwa hisia tu.
 
Mkuu una uhakika na unachosema?

Kama unaushahidi hebu weka hapa, usiongee mambo kwa hisia tu.

Mkuu Dreadnought unataka ushahidi wa video? ..

Siongei kwa hisia ila tambua huo ndiyo ukweli..

Waimbaji wa Taarab walio Wengi ni chakula ..Siongelei Taarab ya Bibi kidude au Matona..Naongelea Hii taarab ya Wacheza Viduku..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Dreadnought unataka ushahidi wa video? ..

Siongei kwa hisia ila tambua huo ndiyo ukweli..

Waimbaji wa Taarab walio Wengi ni chakula ..Siongelei Taarab ya Bibi kidude au Matona..Naongelea Hii taarab ya Wacheza Viduku..

Sasa mkuu wewe unafikiri hapo tatizo ni taarabu au nu hulka za mtu binafsi?
 
Last edited by a moderator:
Sasa mkuu wewe unafikiri hapo tatizo ni taarabu au nu hulka za mtu binafsi?

Mkuu Dreadnought Taarab nayo inachangia..kama utapata nafasi kutembelea Zenj..Kunasehemu maarufu kwa jina la Kwa Raju..jirani kabisa na Magereza/Mafunzo..utawakuta waimbaji wa Taarab hapo..
 
Last edited by a moderator:
lete evidence bablay
 
kiringo ni nani mkuu?
 
Wivu wa like huu na labda mlishawahi kukutana na mkakwazana kwa ajili ya hayo maana sio kwa kuwajua huko... Hadi wateja wenu?
 
Ko saizi nawew ulivoanza kuimba umegundua nini ??maana ulichoandika ni taarabu tosha
 
Wivu wa like huu na labda mlishawahi kukutana na mkakwazana kwa ajili ya hayo maana sio kwa kuwajua huko... Hadi wateja wenu?
Sijawahi kukwazana nae..Mimi napenda Music hivyo tumeonana Mara chache katika Baadhi ya Kumbi Zanzibar..
 
Aiseee
Kumbe huyu kiringo alianza zamani hii michezo 40 yake naona imefikia sasa nilianzaga kumsoma kwa mange mwaka jana
 
Reactions: prs
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…