Waikafashion gallery

everythingood

Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
97
Reaction score
39
Karibu waika's gallery..hapa utapata bidhaa zetu kwa rejareja,tupo dar pia tunatuma bidhaa zetu kwa wateja wa mikoa mingine .

Bidhaa zilizopo kwa sasa:
Handbags :
zinatengenezwa hapahapa Tanzania,ni nzuri na imara,bei ni nafuu sana...
Bei pochi pekeake ni 20,000/=
Bei pochi na viatu ni 25000/=
Utaletewa ulipo kwa gharama nafuu...wanaohitaji kw jumla tunapokea oda pia..


T-shirt:
Zipo round neck t-shirts brand za manga na hotbasic ...size:M-XXL... zinauzwa kwa seti kwa bei zifuatazo:
Pack ya tshirt 3-30,000
Pack ya tshirt 5-50,000
Toa oda yako


Handbags za dukani(special)
Bei ni 45000/= ipo rangi nyekundu
ipo ya blue

Viatu vya kike:
Bei 35000
ipo ya kijivu,size 39
ipo rangi nyeusi size 39
ipo rangi ya pink size 38

Suruali za kiume:
Bei 30,000/=




Mawasiliano:whatsapp/sms @+255626309195...karibuni sana..
 
Moja ya sababu zinazopelekea wajasiriamali wa kibongo tusitiboe ni kutaka super profit, yaani tunataka faida kubwa sana kuliko uhalisia wa soko.

Hebu tazama tangu uweke tangazo tar 04 March 2018 mpaka leo hakuna hata mtu aliyeulizia wala kukomenti, shida bei mkuu
 
Mpaka sasa hawajatambua kwanini kimya,hiyo bei yako na iliyopo kitaa kwa sasa hazifanani.N.B bei kubwa halafu nijirisk kufanya biashara na mtu wa kwenye mitandao ungeshusha kuliko mitaani ungevutia
 
Hizo cardet '30k!?? Hatari sana!
 
Viatu vya ngozi vya kike
35000/=
Size 36-41
Whatsap +255626309195
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…