Pangani patakuwa mbali mkuu... kuhusu bei sina fixed budget ila ningepata yenye unafuu ingekuwa bora zaidi! Awamu ya tano sio mchezo mkuuKwa bahati mbaya kwa jiografia ya Tanga ilivyo usitegeemee kuona hotel yenye beach za maana ..labda pangani...karibu sana Mkuu... kuhusu bei ungetaja kwanza bajeti yako..then tuanzie hapo ..
Kila kitu kipo wewe wataka ya bei ganiiPana swiming mkuu? bei yake imekaaje?
Kipumbwi umemaliza... blanketi chapa mtu hahaha! Nashkuru mkuuSwimming pool-Mkonge hotel patakufaa zaidi kuliko Tanga Beach hotel kweni swimming yao ni ya watoto na wadada wanaouza sura ila ya Mkonge hotel ni kwa ajili ya kuogelea na kureflesh.
Pia waweza ingia beach ya Waswahili ambayo inanoga zaidi ama ya wahindi,bei haizidi buku 3000.
Kama self ride ipo na muda wa kutosha basi vuka Pangani.
Club Tanga city lounge,Live Band Nyumbani Hotel au hata Tanga Beach hotel. Wadada wauza chini pia wengi tanga,japo wenyeji tumetulia tu.
Laki moja inatosha kulala hotel nzuri,kula na kunywa,hata blanket chapa mtu pia unapata!!
Ww nenda ukajionee mwenyeweIkoje kiongozi?
Swimming pool-Mkonge hotel patakufaa zaidi kuliko Tanga Beach hotel kweni swimming yao ni ya watoto na wadada wanaouza sura ila ya Mkonge hotel ni kwa ajili ya kuogelea na kureflesh.
Pia waweza ingia beach ya Waswahili ambayo inanoga zaidi ama ya wahindi,bei haizidi buku 3000.
Kama self ride ipo na muda wa kutosha basi vuka Pangani.
Club Tanga city lounge,Live Band Nyumbani Hotel au hata Tanga Beach hotel. Wadada wauza chini pia wengi tanga,japo wenyeji tumetulia tu.
Laki moja inatosha kulala hotel nzuri,kula na kunywa,hata blanket chapa mtu pia unapata!!
Ndio sehemu zako za kujidai nin ukhuty???Ukifika uje unisalimie na mim