samy_g Member Joined Nov 11, 2013 Posts 12 Reaction score 0 Nov 24, 2013 #2 Basi mie nilijua ile ya tabata baracuda mkuu.....
W Wandugu Masanja JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 1,584 Reaction score 553 Nov 24, 2013 #3 usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake
usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,921 Nov 24, 2013 #4 Wandugu Masanja said: usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake Click to expand... Babu kuna vibaka huko?...
Wandugu Masanja said: usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake Click to expand... Babu kuna vibaka huko?...
W Wandugu Masanja JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 1,584 Reaction score 553 Nov 24, 2013 #5 huko hakuna vibaka wa kukutesa huwa unazitowa mwenyewe kwa service utakayopewa samahani Mwanangu hapa ninazungumzia kwa wanaume farkhina said: Babu kuna vibaka huko?... Click to expand...
huko hakuna vibaka wa kukutesa huwa unazitowa mwenyewe kwa service utakayopewa samahani Mwanangu hapa ninazungumzia kwa wanaume farkhina said: Babu kuna vibaka huko?... Click to expand...
mtz one JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 4,275 Reaction score 1,222 Nov 24, 2013 #6 farkhina said: Babu kuna vibaka huko?... Click to expand... nataman siku moja twende wote huko mpenzi wangu
farkhina said: Babu kuna vibaka huko?... Click to expand... nataman siku moja twende wote huko mpenzi wangu
mtz one JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 4,275 Reaction score 1,222 Nov 24, 2013 #7 nikisikia copacabana nakumbuka sonyericsson yangu ya kwanza kabisa kutumia ilikuwa na mlio huu
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,921 Nov 24, 2013 #8 Wandugu Masanja said: huko hakuna vibaka wa kukutesa huwa unazitowa mwenyewe kwa service utakayopewa samahani Mwanangu hapa ninazungumzia kwa wanaume Click to expand... Mie ata sijaelewa....una maanisha watu wakarimu eeeehππππ
Wandugu Masanja said: huko hakuna vibaka wa kukutesa huwa unazitowa mwenyewe kwa service utakayopewa samahani Mwanangu hapa ninazungumzia kwa wanaume Click to expand... Mie ata sijaelewa....una maanisha watu wakarimu eeeehππππ
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,921 Nov 24, 2013 #9 mwungwana said: nataman siku moja twende wote huko mpenzi wangu Click to expand... Nenda pekeyo...ukashangae shangae
mwungwana said: nataman siku moja twende wote huko mpenzi wangu Click to expand... Nenda pekeyo...ukashangae shangae
mtz one JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 4,275 Reaction score 1,222 Nov 24, 2013 #10 farkhina said: Nenda pekeyo...ukashangae shangae Click to expand... hapana we ndio dodo langu nikikosa utamu unakata dia
farkhina said: Nenda pekeyo...ukashangae shangae Click to expand... hapana we ndio dodo langu nikikosa utamu unakata dia
W Wandugu Masanja JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 1,584 Reaction score 553 Nov 24, 2013 #11 Fakhina Usinitafute kwa ihsani yako, farkhina said: Mie ata sijaelewa....una maanisha watu wakarimu eeeehππππ Click to expand...
Fakhina Usinitafute kwa ihsani yako, farkhina said: Mie ata sijaelewa....una maanisha watu wakarimu eeeehππππ Click to expand...
tinna cute JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 4,630 Reaction score 2,310 Nov 24, 2013 #12 Wandugu Masanja said: usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake Click to expand... Tupe story za huko maana wengine kufika huko ni ndoto...
Wandugu Masanja said: usiombe kwenda huko na pesa mfukoni utarudi mweupe uliza baharia yeyote yule aliyefika huko atakupa taarifa yake Click to expand... Tupe story za huko maana wengine kufika huko ni ndoto...
W Wandugu Masanja JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 1,584 Reaction score 553 Nov 24, 2013 #13 Tinna cute Huna haja ya kupewa story nimekupa tahadhari kama unataka kuhakikisha nenda mwenyewe uone halafu uje humu ulete story
Tinna cute Huna haja ya kupewa story nimekupa tahadhari kama unataka kuhakikisha nenda mwenyewe uone halafu uje humu ulete story
kadakokigondile JF-Expert Member Joined May 17, 2013 Posts 1,872 Reaction score 635 Nov 24, 2013 #14 farkhina said: Babu kuna vibaka huko?... Click to expand... Hakuna vibaka kuna wachunaji baabkubwa maana unachunwa huku unachekelea kwi kwi kwii kwiiiiiiii
farkhina said: Babu kuna vibaka huko?... Click to expand... Hakuna vibaka kuna wachunaji baabkubwa maana unachunwa huku unachekelea kwi kwi kwii kwiiiiiiii