Wadau, kuna hawa waganga wa tiba za jadi (wa kienyeji) ambao wengi wao wanatoa huduma zinazofanana siku hizi ( kuvuta mpenzi, kazi, mvuto nk) wamekuwa wanabandika matangazo yao katika mistimu (nguzo) za Tanesco na TCCL takribani yote na sehemu zote hadi kero hadi kwenye barabara kuu, je wahusika wanajua? hii ni halali kwa hawa wafanyabiashara?
Nawasilisha.
Nawasilisha.