Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
Salaam,
Nachukua nafasi hii kutoa malalamiko juu ya shughuli za Bayport wilaya ya Kahama.
Kuna utaratibu unatumika wa kuendelea na makato kwa mtu aliyemaliza/ kulipiwa mkopo kutoka taasisi nyingine, nimeamua kutoa la moyoni kwa viongozi ambao najua wamo humu baadhi akiwemo mama etu a...,ki ukweli roho imeniuma sana baada ya kuona naendelea kukatwa na Bayport ikiwa nimemaliza mkopo wao.
Inawezekana pengine ni michezo ya baadhi ya watendaji ndani ya taasisi naomba uongozi haraka sana ufuatilie hii tabia hapa Kahama.
Ikiwa kweli taasisi hii ilianzishwa kwa lengo la kusaidia watu iendelee hivyohivyo bila kuleta figisufigisu.
Mwisho napenda kutoa pongezi kwenu angalau sasa riba imepungua tofauti na yale maumivu ya mwanzo.
ZINGATIENI: Tendeni haki kwa wateja wenu kupunguza malalamiko kama yangu, madai yangu muhimu pia.
Nachukua nafasi hii kutoa malalamiko juu ya shughuli za Bayport wilaya ya Kahama.
Kuna utaratibu unatumika wa kuendelea na makato kwa mtu aliyemaliza/ kulipiwa mkopo kutoka taasisi nyingine, nimeamua kutoa la moyoni kwa viongozi ambao najua wamo humu baadhi akiwemo mama etu a...,ki ukweli roho imeniuma sana baada ya kuona naendelea kukatwa na Bayport ikiwa nimemaliza mkopo wao.
Inawezekana pengine ni michezo ya baadhi ya watendaji ndani ya taasisi naomba uongozi haraka sana ufuatilie hii tabia hapa Kahama.
Ikiwa kweli taasisi hii ilianzishwa kwa lengo la kusaidia watu iendelee hivyohivyo bila kuleta figisufigisu.
Mwisho napenda kutoa pongezi kwenu angalau sasa riba imepungua tofauti na yale maumivu ya mwanzo.
ZINGATIENI: Tendeni haki kwa wateja wenu kupunguza malalamiko kama yangu, madai yangu muhimu pia.