GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,877
- 4,612
mkuu mi wife anakatwa pesa na bayport wakati hajawahi kukopa huko ..hii inakuaje?
Peleka mahakamani hao, yaani wewe huitendei haki slogan ya mwana ume ndio kichwa cha nyumba!
mkuu mi wife anakatwa pesa na bayport wakati hajawahi kukopa huko ..hii inakuaje?
Nilienda kuwaona ili warekebishe hadi sasa salary slip bado inasoma hiyohiyo milioni 38
Daaah pole sana Mkuu, dawa kawashitaki panapohusika maana huu ni uwizi wa hali juu
Hawa jamaa wezi nilikopa mil 1 na laki5 salary slip imekuja na deni la milioni 38 na laki saba.
Kwa hiyo mkuu hapo mpaka umalize hizo m38 si jui mwaka gani asee, fanya hima peleka mahakamani wezi hao. na kila ninapo lisikia hili lijina la beypot na patwa na hasira natamani kama ninauwezo nilifungiage kabisa huko na kuwafilisi walipe wateja wanaodaiwa iwe fundisho. NIMEKOMAAAAAAAAA
Swala lako linatatulika nenda kwenye ofisi zao waangalie kwenye system.. watakurefund kama wamezidisha ni system error.. BAYPORT SASA MAKATO YAKO CHINI NA HAKUNA LONGO LONGO.. kwa maelezo zaidi mtu akitaka ani PM
Pole sana but nenda kachukue barua kwenye kampuni husika ya kuonesha kwamba umemaliza deni na huna deni lolote kwao then hiyo barua peleka ofisi ya HR halmashauri kwako watasitisha mara moja hayo makato kwenye Lawson then sasa dai hela yako iliyoenda Bayport wakati huna Deni tatizo kubwa la Walimu hamfuati procedure mnabaki kulalamika tu issue zingine kusolve ni simple mno eg hyo issue yako ni dk 1 tu inakuwa imeshaisha vilevile kabla hujakopa sehemu yoyote nakushauri uwe unaomba ushauri ofisi ya Utumishi kwani wao wanajua Taasisi zote za fedha zone nazokopesha zenye riba kubwa na zenye nafuu zenye matatizo na zisizokuwa na matatizo kwani hudeal hudeal moja kwa moja kuingiza makato ya watumishi kwenye Lawson.
mkuu mi wife anakatwa pesa na bayport wakati hajawahi kukopa huko ..hii inakuaje?