Wahuni wananikosesha usingizi

Huo ni mtaa gani? Sehemu gani kwa dar labda? Ushauri: tafuta 20000/=, tafuta lile gari la polisi la patrol, ongea na mkubwa wao kuhusu hilo tatizo, mpe hiyo hela ya kubrashi viatu, then utakuja kutupa mrejesho kama bado hao wahuni wapo. Serikali ya mtaa uliohamia ushawapa malalamiko? Kama bado fanya hivyo kwanza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…