Wahuni wa ghana waingia mtaani

Wahuni wa ghana waingia mtaani

Hakuna lolote!hakuna panya road wala nini,propaganda zinaendeshwa na mafisadi kututoa nje ya mada ili tusahau ya escrow

Wewe Una kichwa cha panzi, yaani kila likitokea jambo jipya unasahau maswala muhimu yaliyotangulia hâta Kama hujayafanyia kazi!! Buree kabisa wewe! Panya road wanashughulikiwa, tunaendelea na Escrow, tunapambana na katiba ya Chenge, haipiti! halafu tunafuatilia kashfa ya gesi, kijana usiwe na kichwa cha njia moja, maisha yatakupiga chenga, You must learn to multitask!! Mpaka kieleweke
 
Baada ya taarifa kuzagaa kuwa kikundi cha watu wachache chenye silaha za jadi maarufu kama panya road kufanya fujo baadhi ya mitaa ya dar es salaozaam kwa kupora vitu vya raia...vijana wa buguruni ghana maarufu kama wahuni wa ghana,wamejipanga na kuji organize kuweza kupambana na hawa panyaroad,wanasema kama polisi wameshindwa basi wao wapo tayari kupambanao nao.


Ukishidwa kuiongoza TZ huwezi hata ongoza NCHI yoyote DUNIANI, maana maajabu yote yanaanzia kwetu, sasa hawa PAKA ROAD wetu tuliowaajiri ndio wameshidwa? kaka ndivyo kwanini tusiwapumzishe tukaanza kuwafunza wegine wakati huo tukiomba wale kaka zao wawasaidie mpaka hao paka wengine watakapokuwa wamefaulu. Nadhani itasaidia
 
baki huko mkoani tulio dsm tunajua kwamba na jana wamehatarisha sana amani hapa jiji karibia mitaa yote ya kinondoni. sasa wewe toka hapa na siasa zako za kijinga

Mkuu we pia ulikimbia panya road kisa wana mapanga! Kweli dah mnaishi waoga,asa wife ulimwambiaje kuwa umemkimbia mwanaume mwenzio kisa ana panaga? Unaweza kumlinda kweli hahahaa darrrrrrrr poleni
 
Yaan nikisoma comments za vidume wa dar juu ya panya road nacheka sana! Kipindi naishi dar kuna kundi lilikuwa linaitwa komando yoso,wanaume tulichoka kwa anaekumbuka anajua kuveta kiongoz wa lile kundi kilimpata nin maeneo ya kigogo,leo mmekazana kulalamikia polis wakat panya road mnaishi nao ktk jamii,watu wa ajabu sana ninyi wanaume wa dar,yaan wanaume mnakimbia watoto kisa wana mapanga tena mchana kweupeee hahah polen wadada mlioolewa na wanaume wa maeneo waliowakimbia panya road,hapo hakuna cha polis wala nn hapo uboya upo kwenu wanaume.suruali wa dar mliokimbia panya road,kazi kulalamika tu huku mitandaoni! Hahaaahahhah poleni mizombi mliokimbia vitoto kisa vina mapanga! Kwa akili ya kawaida tu fujo.ianzie kagera we mwanaume wa tabaka kinakukimbiza nin kama sio uboya,au fujo manzese useme kinondon nzima mbioo halafu mseme kuna wanaume huko! Hahaahhhh
 
baki huko mkoani tulio dsm tunajua kwamba na jana wamehatarisha sana amani hapa jiji karibia mitaa yote ya kinondoni. sasa wewe toka hapa na siasa zako za kijinga

Polisi walikuwa wapi muda wote huo?
 
Mkuu Udaa humu JF kuna watu ma.fa.la sana,wao wakikaa wanajiona wao ndio wenye hatimiliki za kutukana watu,kisa nini anatumia ID fake.Kama wao wajanja kwa sana kwa nini wasianzishe mitandao yao ya kijamii?ambayo kazi yake itakuwa ni kutukana watu masaa 24?,lakini huo upimbi wao wanauleta JF.The home of great thinkers.Pumbav zao
 
Safi sana wahuni wa Ghana, polisi wamechemka
 
Yaan nikisoma comments za vidume wa dar juu ya panya road nacheka sana! Kipindi naishi dar kuna kundi lilikuwa linaitwa komando yoso,wanaume tulichoka kwa anaekumbuka anajua kuveta kiongoz wa lile kundi kilimpata nin maeneo ya kigogo,leo mmekazana kulalamikia polis wakat panya road mnaishi nao ktk jamii,watu wa ajabu sana ninyi wanaume wa dar,yaan wanaume mnakimbia watoto kisa wana mapanga tena mchana kweupeee hahah polen wadada mlioolewa na wanaume wa maeneo waliowakimbia panya road,hapo hakuna cha polis wala nn hapo uboya upo kwenu wanaume.suruali wa dar mliokimbia panya road,kazi kulalamika tu huku mitandaoni! Hahaaahahhah poleni mizombi mliokimbia vitoto kisa vina mapanga! Kwa akili ya kawaida tu fujo.ianzie kagera we mwanaume wa tabaka kinakukimbiza nin kama sio uboya,au fujo manzese useme kinondon nzima mbioo halafu mseme kuna wanaume huko! Hahaahhhh

Mkuu bro kuveta hakuuwawa na kundi la raia wa kawaida tu, bali ilikuwa ni mchanganyiko wa raia na askari polisi baada ya kuona alikuwa ashashindikana. Bro alikuwa mtemi jela yoyote ya TZ na uraiani. Popote alipokaa au kukatiza polisi wawili au watatu hawakutia mguu labda defender nzima. By the way hao panya road km polisi itaamua kushirikisha raia km walivyofanya enzi zile, wanaweza kuwatokomeza kabisa. Cause hao panya road hawana hata nusu ya mziki waliokuwa nao kina bro Kuveta na kundi lake la commando yosso na red sonja ya yule msela mungine nimemsahau. Hapo ni ulinzi shirikishi tu ndo utatokomoze mende hao!
 
Back
Top Bottom