thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 533
- 233
Baada ya taarifa kuzagaa kuwa kikundi cha watu wachache chenye silaha za jadi maarufu kama panya road kufanya fujo baadhi ya mitaa ya dar es salaam kwa kupora vitu vya raia...vijana wa buguruni ghana maarufu kama wahuni wa ghana,wamejipanga na kuji organize kuweza kupambana na hawa panyaroad,wanasema kama polisi wameshindwa basi wao wapo tayari kupambanao nao.