WAHUDUMU WA MGAHAWA DSM

WAHUDUMU WA MGAHAWA DSM

D Vice

Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
65
Reaction score
44
Mgahawa uliyopo kinondoni Dar es salaam unatangaza nafasi za wahudumu.
VIGEZO
★Awe MSICHANA
★umri 18 -27
★Mkazi wa Dar es salaam
★Mchapakazi na mvumilivu
★Elimu kidato cha nne na kuendelea

Mshahara mzuri. Hududuma ya chakula cha asubuhi na mchana zinapatkana hapo hapo. Muda wa kazi ni kila siku kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa mbili usiku
Maombi yote yatumwe kwenye Email hapo chini.

Jobsfacilitators@gmail.com
 
Back
Top Bottom