Wahudumu wa bar wanahitajika

Wahudumu wa bar wanahitajika

mmekutravella

Senior Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
100
Reaction score
33
Mount Kilimanjaro bar ya Nyegezi stand Mwanza inatangaza nafasi 10 za wahudumu wa bar.Nafasi hizo ni maalumu kwaajili ya wadada tu..umri ni kuanzia miaka 18 hadi 28..kwa watakaokuwa interested tafadhali piga simu no 0767350415 au tuma email fmsafiri@gmail.com au njoo moja kwa moja ofisini kwetu Mount Kilimanjaro Nyegezi stand
 
Salary kiasi gani, wengine wanatokea mbali ili mtu asije akafika huko namsieleweke
 
Back
Top Bottom