Wahindi wahama Moshi

Kweli inanonekana moshi haijui manake alichokiongea ni tofauti kabisa.Kwanza sasa hivi moshi biashara ni hamna mji sio kama ule moshi ya zamani watu wanakimbilia Arusha kaka.Na ukiona mhindi kashindwa ujue hali ni mbaya kibiashara.Na wengi wao wanaenda Arusha
Moshi miaka yote haina idadi kubwa ya wahindi kama ilivyo kwa mikoa mingine hapa nchini. Nafikiri mtoa mada hujui historia ya moshi vizuri.
 

naongezea:-civilized,developed,economical,educated....endelea
 

kama wameenda kwingine bas hata wahind wa iringa wangeondoka.ila ukweli unabaki kuwa wachaga wanawakimbiza wahind moshi.baadae wameenda dar wamewafukuza wadengereko kule kariakoo.wachaga balaa kaka
 
Wachagga kumbe baada ya kukimbia Kariakoo mmekimbilia nyumbani Moshi? Wakinga kiboko yenu, sasa wanakuja hadi huko moshi mtakimbia sana safari hii. Wakinga wamefunguka.
 
Sidhani kama Moshi kuna ubaguzi wa namna hiyo. Mbona sasa hivi kuna watu mbalimbali wanakuja kuwekeza Moshi. Nakumatt ambazo ni Supermarket kubwa kabisa East Africa,wamefungua branch yao Moshi. Na hata Serengeti nao wamefungua kiwanda hapa. Na kuna hata wawekezaji kama wale waliofungua Kibo tower.
Na sidhani kama kweli Wahindi wamekimbia Moshi. Kuna wafanyabiashara wenye asili ya kihindi kama Rajinder ambao wanajishughulisha na mambo ya magari. Pia wapo Hari Singh.
Sasa huo ubaguzi upo wapi?
 
Ivi NAKUMAT nayo ya wachaga?
Kiboko ya Mchaga ni Mkinga yaani kama Mmasai na Chupi!
 
Moshi miaka yote haina idadi kubwa ya wahindi kama ilivyo kwa mikoa mingine hapa nchini. Nafikiri mtoa mada hujui historia ya moshi vizuri.

Moshi kuna wahindi ambao unaweza kuwahesabu na kuwataja kwa majina, labda ungesema mhindi yupi kahama.
Panjuani muuza redio na TV? Pandya muuza pariki?, Rajan na Boby wenye El Rancho?, Jani muuza chauro?, au kina Patel wenye Del Chez? Etc.
Wahindi walioiweza Moshi bado wanakomaa labda useme wale wahindi koko ambao walikua wanauza juice za kupima kwa kikombe ndio washapotezwa.
 
Huu mji kwa kweli majengo mengi ni ya zamani magofu yaliyochoka ; haya maendeleo mnayoyasema ni haya magofu?
 
wachaga awana tofauti na wahaya ukiwa na biashara uko kwao ni full fitina mpaka uondoke ata bukoba makabila mengine ni nadra kuwakuta wanafanya biashara.
 
Aisee kuna topic flan zinakuwaga zinakula kwa wach... huwa zisipendi , lakini anyway sababu kubwa ni huku kujioboast huwa kunwagharimu sana na watu wanaamua kupakaza mbaya.
 
Aisee kuna topic flan zinakuwaga zinakula kwa wach... huwa zisipendi , lakini anyway sababu kubwa ni huku kujioboast huwa kunwagharimu sana na watu wanaamua kupakaza mbaya.

huna nyimbo.wachaga hawana hizo wao fweza kwanza.wachakarikaji sana,sio watu wa wivu wala fitina kama wakwere.hawa watu kiukweli wako mbali hata kwao migombani si tofauti saana na kimara
 
Kulinganisha wachaga na wakinga ai si sahihi kwa kuwa mali za wakinga zinaendeahwa kwa ushirikina. Unakuta mkinga anamiliki jumba hata la ghorofa saba au kumi na maduka makubwa lakini kuvaa na kula kwake na familia ni chini hata ya kiwango cha maskini. Utakuta katika nyumba za biaashara wamewaweka wazazi wao misukule kwa ajili ya kuvuta biashara. Hakuna mkinga tajiri wa hivihivi bila kuua mama au baba au mtoto
 

Wacha ukenge wewe moshi hakuna biashara wala mzunguko wa pesa, wahindi ni wajanja
 
umenikumbusha chauro za kwa jani nilikua nikitoka shule Mawenzi primary nakatiza kichochoro naenda kununua chauro,
 
wachaga ni wabaguzi sana na pale moshi kama we sio mchaga ukaanzisha biashara yako nzuri lazima wakufitini ufilisike.wahindi wameshindwa ukabila unafanywa na wachaga mkuu.nina uzoefu na mji huo sana

Na bado..uzoefu kuliko cc wazawa...utanyooshwa saaaana na roho yako ya mtumba...Kama vp tafute mchaga akupe njia bora na halali ya kupambana na maisha na sio majungu!
 
Hapa umenena, mimi ni wa kule lakini siwezi kufungua biashara pale.. Mji wa moshi kwa kweli hauna mvuto wa kibiashara kama ilivyokuwa zamani..ndio maana hata watu wengi wa moshi wanakimbilia Arusha na Dar..its also a very difficult place to work
 
jibu hoja acha kutoa kashfa.mchaga ni mbaguzi ndio mana moshi imedumaa maendeleo yanaenda arusha kwa watu wenye roho nzuri.mchaga si mtu

Ubaguzi ki vp..toa udhibitisho kwamba ulisha wai kubaguliwa na mchaga na ilikuaje na ulijuaje anakubagua...yaana hata yule TO moses swai alikuwa m'baguz darasani eeeee!! Kila kitu ni kipaji ndugu,kama huku pewa tazama upande mwingine wa maisha na umwombe Mungu..Kilimanjaro kuna Makabila mengine pia na yanafanya biashara kwa ushindani pia..mfano wapare,wasambaa(nenda tarakea wana mahoteli makubwa tuu), wa kenya kibao, wamasai(wanauza ng'ombe za ukweli)n.k.
TAHADHARI:
Mwenzio akikuzidi mbio usi mpige mtama...ongeza mbio zako kwa jinsi unavyo weza' yawezakana ukashika nafac ya pil au tatu.
 
wachaga awana tofauti na wahaya ukiwa na biashara uko kwao ni full fitina mpaka uondoke ata bukoba makabila mengine ni nadra kuwakuta wanafanya biashara.

Giza halichangamani na mwanga...LITOWEKA TUU!!
 
Aisee kuna topic flan zinakuwaga zinakula kwa wach... huwa zisipendi , lakini anyway sababu kubwa ni huku kujioboast huwa kunwagharimu sana na watu wanaamua kupakaza mbaya.

Mkuu katika comment zote nimeshindwa kukusoma wewe peke yakp'naomba rudia hii
 
Mkuu umenikumbusha wahindi wote wa Moshi.
Kuna kijiwe flani cha mhindi karibu na jamatini miaka ya 83 na 84 tulikuwa tunanunua sana bagia na kachori. Kunaitwa kwa Janny! Sijui kama yule mhindi bado yupo au keshavuta tayar cuz miaka hiyo alikuwa mzee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…